Kwenye maisha yangu yote ya mahusiano sijawahi kutenda jambo hili.

unataka wa kugombana nae kwa sababu ya mamsapu? Subiri usiwe na haraka mwezio kaja hapa JF kumsaidia swahiba wake kupata ushauri, wife wake kakutana na wajanja wamemuweka love bites ktk makalio yote mawili ila love bite ya katikati ya makalio haikuonekana maana muhogo wa jang'ombe hauna lips wala meno, sasa subiri wewe ukute mkeo utumbo unaning'inia kwa nyuma baada ya kufukuliwa na wajanja utaamua upigane au umpeleke hosp akapatiwe matibabu
 
ahahahahaaaaaaaaaaa!..mimi sijaoa_hata mimi sijawahi gombana ila kuna jamaa juzi kati ananitishia ataniua eti natembea na demu wake,...nasubiri itakuwaje mkuu.

Unasema hujawah gombana? Wakati hapo juu unasema jamaa anataka kukubonda?
 
Back
Top Bottom