Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Subra!siku moja utakujazichapa hadi nafsi yako itasuuzika kabsaa!
Unajua unatafuta shari.........wewe mwenyewe hujui tu, ndio maana watu husema kauli huumba.................
ahahahahaaaaaaaaaaa!..mimi sijaoa_hata mimi sijawahi gombana ila kuna jamaa juzi kati ananitishia ataniua eti natembea na demu wake,...nasubiri itakuwaje mkuu.