Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Hivi ni kweli, mtu ambaye ana uhusiano wa kimapenzi na mtu mwingine, anadiriki kumwambia ampendaye hawezi kuongea pumba kwasababu anamwogopa, lkn kwa wengine anaongea pumba!
Yea huwa inatokea, nadhan mtu umpendae hustahiri heshima, pia mazoea yaliyopita kiasi si mazuri ktk mahusiano, hugeuka kua dharau!Hivi ni kweli, mtu ambaye ana uhusiano wa kimapenzi na mtu mwingine, anadiriki kumwambia ampendaye hawezi kuongea pumba kwasababu anamwogopa, lkn kwa wengine anaongea pumba!