Kwenye hili,WANAUME tunafyata mkia!

Mimi sibishi, lakini tunapoelekea, hayo uliyoyasema, yatabaki historia tu................... Wanawake wa kizazi hiki sio sawa na wale wa zamani ambao walitishwa na mila na desturi pamoja na mafundisho ya dini juu ya ndoa na mahusiano. Nyie subirini tu, siku si nyingi mtashuhudia haya niyasemayo.............. Zile zama za kuwaona wanawake kama wao ndio wenye wajibu wa kuamua kuwa ndoa iendelee au isiendelee, zinaelekea ukingoni, wote sasa tutakuwa na wajibu katika hilo, kwa maana ya ukimwaga mboga namwaga ugali.............


Tunayaona haya kila siku, siku hizi wanawake wako mstari wa mbele kuacha waume zao!
 
hiyo nyumba ndogo ni mwanamke au mwanaume maana kama ni mwanamke hujasolve tatizo bali umeongeza
duh respect mkuu,
ila mvumbuzi wa ndoa anapaswa kutoa remix yake, maana haya mambo mzee yanachanganyaga mno,
 
Back
Top Bottom