Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...hivi ni kwa nini wengi wenu hamuwafikirii wasiovuta sigara mnapovuta sigara zenu? Utakuta mtu yupo katikati ya kundi la watu (hasa bar na sehemu nyingine zenye mikusanyanyiko ya starehe) anaamua kuwasha sigara yake na kuanza kuvuta! Kwa nini usiende kuvutia kando?