FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,793
- 5,372
- Thread starter
- #61
Jamaa kaniudhi sana, basi angeishi na huyo mama mzazi wake, udhaifu namna hiyo ni mbaya sana, kwa nini amnyanyase binti wa watu namna hiyo, huyo mama na yeye inaelekea umaskini umemtawala, inawezekana anamtegemea sana huyo mtoto wake wa kiume ndo maana anajidai anauchungu namna hiyo. halafu huyo mama anauhakika gani kwamba mwanaye anatema CHECHE? anamtuhumu binti wa watu tu, pengine mwanaye ndo mwenye matatizo. awaachie wenyewe waamue maisha yao na si kuanza kuwapangia lini wapate mtoto. Kuna jamaa yangu amekaa 5yrs baada ya ndoa ndo akapata mtoto, mkewe alisema siwezi kuzaa mpaka tununue gari(Hii sijui nayo imekaaje) wakanunua akasema siwezi kuzaa mpaka tujenge kwetu, lkn jamaa hakusubiri wajenge akaweka kitu, lkn 5 yrs ilikuwa imeshapita na sasa mtoto wao ana miaka minne, kwa nini hawa wazazi wanakuwa namna hii?, au ndo maana siku hizi ndoa na mimba vinaenda sambaba? ndoa nyingi utakuta bibie keshachoka au ndo ina miezi mitatu. kweli huyo ni mwanaume JINA tuu
Ni kweli uliyosema chimunguru
Je mnajua kama nyinyi wanaume ndo msingi wa family
na Je mnajua kama nyie mkituwekea Security tutaheshimika na familia zenu
Lakini pale mnapojitenga na sisi ndo mwanzo wa kufikia mama mkwe anasema lolote juu ya mkwewe na mbaya zaidi kama mawifi wapo ndo wanazidi kupigilia msumari
Hatari