Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Jamani naomba mawazo na michango yenu kuhusu suala zima la picha za Pornoghraphy. Katika kukutana na watu mbalimbali nimekutana na wale wanaozipinga picha hizi kuwa hazifai na wengine wanasema ni nzuri kwa kuongeza ubunifu hasa kwa walioko kwenye ndoa.
Mimi binafsi naona ni bomu linaloweza kulipua familia na kuzidi kuporomosha maadili ya jamii. Wewe binafsi unaonaje kuhusu hili.
Karibuni tujadili.
NB:Kwa wenye idea zaidi tupeni faida na hasara pia za Pornoghraphy
Mimi binafsi naona ni bomu linaloweza kulipua familia na kuzidi kuporomosha maadili ya jamii. Wewe binafsi unaonaje kuhusu hili.
Karibuni tujadili.
NB:Kwa wenye idea zaidi tupeni faida na hasara pia za Pornoghraphy