JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Tanzania ni zaidi ya hatari
Alafu una ambiwa tuna Amani wameshampiga mtu anaomba aachiwe uhai wake wao wanammalizia kafa na mtutu kifuani Hata Kama hakusalimu amri walisha muweka chini ya ulinzi kwanini wa muue??? Kazi ya majaji na mahakama ni nini??? Mtakufa mpaka lini??? Au tuendelee kumalizia hasira kwenye keypad?? Jamani mwenzio akinyolewa wewe tia Maji......Ngoja nikale bia nilale rip shujaa