Kwenu nyie wanawake: Kuachana haimaanishi uhasama!

Mkeshaji

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,262
1,416
Katika pitapita zangu nimekutana na hii imenifurahisha sana.
Kumbe kama ukiachwa haimaanishi ulete uhasama.
Nadhani huu ni ujumbe mzuri sana hasa kwa akina dada.

Nisishambuliwe tafadhal!

attachment.php
 

Attachments

  • mandela.jpg
    mandela.jpg
    4.7 KB · Views: 98
Uhasama hautakuwepo kama uko busy na maisha yako kuolewa na kuachwa ni jambo la kawaida sio jambo Zuri unapoachana na mwenzio,lakini nilazima usonge mbele na hakuna haja yakufatiliana unatakiwa uji weke busy na maisha yako na usome kutokana na makosa yalokufanywa muachana,
 
Uhasama hautakuwepo kama uko busy na maisha yako kuolewa na kuachwa ni jambo la kawaida sio jambo Zuri unapoachana na mwenzio,lakini nilazima usonge mbele na hakuna haja yakufatiliana unatakiwa uji weke busy na maisha yako na usome kutokana na makosa yalokufanywa muachana,

Sawa, lakini wapo mabinti wengine mkiachana ndo hata salamu hakuna. Kama mna watoto anawafundisha wakuchukie. Kwa hiyo hili ni somo tu kuwa mnapoachana ni kwamba sera zenu hazija-match lakini sio sababu ya kuwekeana bifu.
 
Uhasama hautakuwepo kama uko busy na maisha yako kuolewa na kuachwa ni jambo la kawaida sio jambo Zuri unapoachana na mwenzio,lakini nilazima usonge mbele na hakuna haja yakufatiliana unatakiwa uji weke busy na maisha yako na usome kutokana na makosa yalokufanywa muachana,
Nikiongeza hapo nitatibua mambo.
 
kama aliniibia je? Lol...(just kidding mtu ataibwaje bila matakwa yake)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom