Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
Najua hili si jukwaa la kuombana urafiki, bali ni jukwaa la mijadala zaidi
Ila mimi naomba nipost hii wazo langu kwenu wakina LD, Michelle, firstlady, Dena Amsi Nirshad ,Carmell, Lilyflower,Lizzy, gaga, Marytina na wadada wengine wote wa JF.
Nashindwa kupost PM kwa kila mtu kwenu, ila jamani me nawapenda sana na natamani niwafahamu ili nami ninaposoma threat au comment zenu basi nione nachangia kwa fulani.. Jamani, najua urafiki una sehemu zake, ila kwa kuwa humu ni sehemu za kuchangia na kutoa story muhimu watu wapambanue, basi nimeona niwatafute kwa njia hii kwanza ili hata ukicomment/nikicomment kwenye post yangu/yako nifurahie zaidi.
Me naadmire sana comment zenu pia (they'r like conversations)
Leo ni kwa akina dada wenzangu tu, next time natafuta wakina kaka/baba
Msinichallenge basi!!
Ila mimi naomba nipost hii wazo langu kwenu wakina LD, Michelle, firstlady, Dena Amsi Nirshad ,Carmell, Lilyflower,Lizzy, gaga, Marytina na wadada wengine wote wa JF.
Nashindwa kupost PM kwa kila mtu kwenu, ila jamani me nawapenda sana na natamani niwafahamu ili nami ninaposoma threat au comment zenu basi nione nachangia kwa fulani.. Jamani, najua urafiki una sehemu zake, ila kwa kuwa humu ni sehemu za kuchangia na kutoa story muhimu watu wapambanue, basi nimeona niwatafute kwa njia hii kwanza ili hata ukicomment/nikicomment kwenye post yangu/yako nifurahie zaidi.
Me naadmire sana comment zenu pia (they'r like conversations)
Leo ni kwa akina dada wenzangu tu, next time natafuta wakina kaka/baba
Msinichallenge basi!!