babalynn
Kacheni kamoja ka kawaida akikavaa kistaarabu sawa- sio yale makuuubwa ka mnyororo wa mbwa.
mami umenifurahisha hapo....napenda aonekane smart! pete ni moja tu aliyoyonayo ya ndoa, cheni ya kawaida tu! jmoc na jpili baada ya kanisa anaweza kuvaa jeans,tshit, na viatu vya wazi, kaptula pia, yaani aonekane cmple but sure.
eeh hapo tupo wote MJ1, kumbe hujaziban 'completely'...
Nyamayao u sound kama mai wife wangu yupo hapa nini LOL!
Kaizer na nyamayao mmenichekesha- sasa sijui tutaita fumanizi au kitu gani!
Mkishatambuana mrudi mtupe feed back tuwajue!
napenda mwanaume wangu avae shati na suruali achomekee vizuri
hasa mashati ya mikono mirefu nadhani yanavutia zaid.........
casual T shirt na jeans au kaptula fulani
cc Kaizer
hivi hapa ulikuwa wapi Heaven on Earth?
Wakuu,,
Tukiendelea na hili libeneke la mahusiano ma mapenzi, kuna kitu kimenijia akilini, nacho ni:
Linapokuja suala la mavazi na muonekano wa mpenzi/mume wako, ungependa avaeje/aonekaneje mtokapo au hata muwapo nyumbani?
Tukiacha suala la mazingira na hali ya hewa pembeni, kuna wengine kwa mfano wangependa mtu anayepigilia viwalo vya kisasa, wengine wangependa mitindo ya zamani kama nywele za afro, visuruali vya 'chinjio' au wengine 'mabagi',
ukija kwen viatu, labda wengine wanapenda vya kileo, vilivyopo kwenye fasheni na vyenye majina (mf. kama raba za puma, nike, adidas -original sio hizi za 'kwa mtogole)
Kuna wengine wanapenda wapenzi wao wawe na vidani..kama cheni, kidani cha mkononi, au hata hereni kabisa,,
Sasa sijui kwa ujumla mnapenda mmwenzi wako aonekaneje..ukitilia maanani jamii na pia your own satisfaction.
hata sijui kama nimeeleweka lakini hivyo hivyo.
nilikuwa bado nanyonya mida hii
mmmmhh!
MwanajamiiOne1. Awe smart asizidishe sana.
2. Sipendi anayevaa macheni cheni au wenyewe mwaita mabling bling!
3. Awe na nywele fupi za wastani- sipendi kama ananywele anyoe kipara kile kinachong'aa hapana.
4. Avae mavazi yanayoendana na umri wake si ukuta mbaba wa miaka 45 anavaa masuruali yenye mamifuko makubwa au t-shirts zenye macharter makubwa.
5. Kifupi avae kulingana na umri wake.
6. Hata gari asiwe anafungulia mziki mkubwa hadi wa nje wanasikia mh!