Kwenu akina kaka wenye kutaka mapenzi ya kweli

Yeah hii mara kibao inatokea mkazoeana na dada wewe ukajua pengine anataka penzi kumbe sivyo wazo lake yeye anahitaji kampani tu alafu mnaweza mkalala hata chumba kimoja na usimfanye kitu ukaishia kutoa udenda mdomoni.

ha ha haaaaaaaa, Fidel80 hapa umenikumbusha siku moja kuna rafiki yangu alikuja kunitembelea. si unajua kampasi mambo ya chumba kimoja tu? tukapiga story, mara mvua kubwa sana ikaanza. ilinyesha mpaka usiku sana, ikabidi yule kaka alale pale. sikuwa na wasi sababu tulikuwa so close, tukapiga story mpaka nikapitiwa na usingizi. mwenye nyumba nimepiga usingizi mpaka asubuhi, kumbe jamaa hajalala. kuamka asubuhi nashangaa mgeni kachoka, nikamwuliza kulikoni mbona upo hoi? au kitanda kidogo sana umeshindwa kulala? akaniambia hakuweza kupata usingizi. Nikamshangaa sana
 
Thanks itniBydaL = Lateral inversion kama tulivyofundishwa kwenye physics sekondary [You just did to my name its MTM and not TMT leiidee!!!}

kwakweli you make lots os senses na nashkuru kwa kunifungua zaidi, to tell you the truth, therer no true love in most of relationships because:

true love stands the taste of time
true love lasts for a long time
True love sees the end of time
Once started it cant end
and the best part of true love is that, it can only be confimred after one has parted this life
In short i can say that no matter how much you or i love the current partner, the confirmation fo true love will only come when its the end of time and not the end of our relationship

What do you think?

Those are my two cents


Hii ni kweli kabisa.
Umesahau kitu kimoja...
True Love isnt necessarily Romantic love....wengi huchanganya hapa.
 
Hii ni kweli kabisa.
Umesahau kitu kimoja...
True Love isnt necessarily Romantic love....wengi huchanganya hapa.


VeraCity, kweli umenena. na mara nyingi (sio always), matapeli ndio wanao-practice sana romantic love
 
VeraCity, kweli umenena. na mara nyingi (sio always), matapeli ndio wanao-practice sana romantic love

na romantic love,,, ni short-lived...
wengi huchanganya infatuation na mapenzi ya kweli..hali ya kurukaruka vipepeo tumboni inapoisha basi hudhani hakuna mapenzi tena...
KWA AMBAYE BADO HAJAPATA EXPERIENCE YA KUTOSHA- KUA UONE !
 
Hadithi za Shigongo hazina hicho unachodhania.Zimejaa mapenzi hafifu( cheap love).Hapa tunaongelea kitu tofauti.

zile za shigongo ni za kufurahisha watu ..hazian ukweli wowote na uhalisia wake ni mdogo sana
 
Mjadala mzuri mno,
Upo so interest.
Nianze kwa kusema kuwa mapenzi ya kweli yapo ijapo si kwa wengi.
Pamoja na maana ya mapenzi iliyotolewa hapo nyuma, kubwa sana ni, mtu aliye na mapenzi ya kweli kwako anafikiria kutoa/kujitoa zaidi kwako zaidi ya kufikiria anachokipata kutoka kwako, ndo mana hata mwingine anakuwa teyari kuchange for the best kwa ajili ya ampendaye.
Tunakosea sana tunapokuwa artificial sabb hiyo ndo mara nyingi hucost mbele ya safari.
Upatikanaji wa mpenzi mwenye mapenzi ya kweli unatofautiana sana so wala hakuna formula ya kumpata ila umakini kwenye kuanza uhusiano unahitajika kwa kiwango cha juu.
 
Mjadala mzuri mno,
Upo so interest.
Nianze kwa kusema kuwa mapenzi ya kweli yapo ijapo si kwa wengi.
Pamoja na maana ya mapenzi iliyotolewa hapo nyuma, kubwa sana ni, mtu aliye na mapenzi ya kweli kwako anafikiria kutoa/kujitoa zaidi kwako zaidi ya kufikiria anachokipata kutoka kwako, ndo mana hata mwingine anakuwa teyari kuchange for the best kwa ajili ya ampendaye.
Tunakosea sana tunapokuwa artificial sabb hiyo ndo mara nyingi hucost mbele ya safari.
Upatikanaji wa mpenzi mwenye mapenzi ya kweli unatofautiana sana so wala hakuna formula ya kumpata ila umakini kwenye kuanza uhusiano unahitajika kwa kiwango cha juu.

Ndugu yangu umesema kweli na hata wachangiaji wengi hapa wamekubali kuwa mapenzi ya kweli yapo ila si kwa wingi.Wanasema ni nadra, adimu siku hizi.

Kuhusu huko kujitoa zaidi kuliko kufikiria kupata..hili nalo neno ndugu yangu.Sasa basi kinachotokea ni kushindwa kuelewa ni wapi unapaswa kujikata pale uoanapo unatoa tu na mwenzio wala hana mpango.Hii ni ishara kuwa hutakiwi na unapong'ang'ania ujue utakuja kulia baadae maana utakuwa umepoteza muda na nguvu zako kuwekeza mahali ambapo hapana matokeo uyatakayo wewe- KUPENDWA.

SIDHANI KUNA BINADAMU MWENYE AKILI TIMAMU anayetaka yeye tu apende bila kupendwa.Kila mwanadamu ameumbwa na silka ya kupendwa tangia akiwa mtoto mchanga asiye na experience yoyote ya mapenzi.Mtoto mchanga akikosa penzi la mama, hunyong'onyea na hata afya yake hutetereka.Zipo tafiti zenye kuthibitisha hili.

Hata watu wazima, ukijua hupendwi unapata msongo wa mawazo na ndio maana watu hutafuta hata mbadala.Huu ndio ukweli.Kama una mpenzi wako halafu ukaanza kumletea mambo yasiyo faa ujue unajiweka matatani.Mbadala huo uko wa aina nyingi - wapo wenye kukimbilia kinywaji, chakula kupita kiasi, kuzurura ovyo, kuwa na nyumba ndogo,n.k.
 
Hii ni kweli kabisa.
Umesahau kitu kimoja...
True Love isnt necessarily Romantic love....wengi huchanganya hapa.

You have said it better VC, its more than romance, more than lust, more that obsessions, more than hurting one another... its just TRUE LOVE!!
 
Kaka zangu wote hapa JF kuanzia akina Gudboy na wengineo mnaolalamika kuwa mnadanganywa na wapenzi wenu, tuanzie hapa kwanza ndipo tuelezane wapi wanapatikana wadada wenye mapenzi ya kweli.
Fidel najua una mkakati wa 2012... haya maswali muhimu ulishayafikiria?
hatulalamiki ndio ukweli Veracity, kwani wewe unaishi wapi na hauyaoni haya, hata mimi ninayeishi kwenye hicho kisongowi changu nimeyaona! Nway tumeelimika, asante
 
MTM naomba uniwie radhi, it was a slip of ze vidolez. Uzee huu!!

Haya jamani kuhusu hii romantic love maana ni field nyingine ambayo imepewa reputation of being "opportunistic love" hapa. Kama tunaongelea kuhusu mapenzi ya kweli kati ya mwanamke na mwanamume, nadhani ni safe ku assume romance plays a major role, next to sex and the likes, ama? Kama hakuna romance, ama iko but in very small doses, is it really worth it? Si I might as well stick to my love of chapatis (at least that way I don't have to worry about any hidden agendas). Romance muhimu jamani. Let's all be a little more romantic, lol!
 
MTM naomba uniwie radhi, it was a slip of ze vidolez. Uzee huu!!

Haya jamani kuhusu hii romantic love maana ni field nyingine ambayo imepewa reputation of being "opportunistic love" hapa. Kama tunaongelea kuhusu mapenzi ya kweli kati ya mwanamke na mwanamume, nadhani ni safe ku assume romance plays a major role, next to sex and the likes, ama? Kama hakuna romance, ama iko but in very small doses, is it really worth it? Si I might as well stick to my love of chapatis (at least that way I don't have to worry about any hidden agendas). Romance muhimu jamani. Let's all be a little more romantic, lol!

My dear..you have a point in craving for romance.Romantic or "eros love" is to feel the joy of "being in love." Such a love is concerned more with the "self" rather than "the partner"..It is based on strong feelings toward another. It usually occurs in the first stages of a man-woman "romantic" relationship.This love is based more on physical traits. Say a person says he has "fallen in love" for a woman, because "she looked like an angel" . Or a woman "falls in love" for a guy because he is intelligent, he is good looking etc. It is love that is untested by hardships, and therefore may or may not last in the long-term. It may or may not develop into a higher form of love - "philos love". "Eros love" can only succeed in the long-term if it progresses into a higher form of love. Otherwise, it will not last.When that person doesn't "feel happy" anymore in loving that person, she/he is led to believe that she/he has "fallen out of love". Actually, there was never "true love" in the first place. The fact is, love by feelings alone cannot be called "true love"!
 
MTM naomba uniwie radhi, it was a slip of ze vidolez. Uzee huu!!

Haya jamani kuhusu hii romantic love maana ni field nyingine ambayo imepewa reputation of being "opportunistic love" hapa. Kama tunaongelea kuhusu mapenzi ya kweli kati ya mwanamke na mwanamume, nadhani ni safe ku assume romance plays a major role, next to sex and the likes, ama? Kama hakuna romance, ama iko but in very small doses, is it really worth it? Si I might as well stick to my love of chapatis (at least that way I don't have to worry about any hidden agendas). Romance muhimu jamani. Let's all be a little more romantic, lol!

LadyBinti,

You are very right [once again!:p]... Romance na yooote yatokanayo na hayo ni ingredients muhimu towards true love... hilo halina mjadala. Lakini kama walivyosema wachangiaji wengine, true love is more than all those we have tried to sample, tunaiapata zaidi kwenye mafunzo ya dini.. angalia waislamu, wahindu au wakristu wanavyosimamia, kuamini, ku-uphold, na kuulinda imani hadi siku ya mwisho, where there is up or down

Hapo ndio utamu wa true love unapokua

They say love/marriage is the only academy in life where you are issued a certificate halafu ndio unaanza kupata shule yake... Na ukifaulu ndio unakuwa mkamilifu

Sijui hata niielezeje lakini ina ka-mchanganyiko kake, kinda like yai na kuku
 
"Dunia ya sasa siyo ile ya enzi za Mwalimu,
Dunia ya sasa hapendwi mtu bali kitu,
Dunia ya sasa penzi la kweli ni adimu,"
.................




4. Mdada anaweza kufurahia mazungumzo na wewe au kampani yako tu na siyo kuwa wapenzi na wewe.Je, ni mara ngapi umeweza kujua mipaka ya uhusiano wenu? Wapo akina dada wengi hupendelea marafiki wa kiume - urafiki wa kawaida na siyo upenzi.Je wewe unaweza kutofautisha/kupambanua hili?


Loh ingawa hakuna uhusiano hasi kati ya simba na swala ila nashukuru kwa ushauri. hii inanipa ujasiri wa kupalilia ndoa yangu kwani naamini kwamba huko nje hali si shwari. hapendwi mtu inapendwa suruali yenye mifuko iliyotoboka hehehe
 
"Eros love" can only succeed in the long-term if it progresses into a higher form of love. Otherwise, it will not last.When that person doesn't "feel happy" anymore in loving that person, she/he is led to believe that she/he has "fallen out of love". Actually, there was never "true love" in the first place. The fact is, love by feelings alone cannot be called "true love"!

Thank you! That is very true VC.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=ZDvJZQbinfg[/ame]
 
If we look at animals we will realise that they are very selective in picking their mates, they normally don't just let any male to mount them; they normally look at one thing which I could easily pinpoint.
They normally look for desired traits so that they can pass those traits to their offspring's, this include physical characristics like colour and so on, also they normally look for a dominant male for protection.
Sisi binadamu tusidhani tuko tofauti na wanyama, We are exactly the same , Kuhusu desired characteristics, hii nadhani haina usishi wote huwa tunachagua. Tha is why if you do not have what is considered as desired characreristics basi umekwisha.
Secondly about protection, women like to be protected, this is how they are wired, this protection includes safety for her self and children and also security and assurance of material provision.
Kwa mantiki hii, swala la wanawake kupenda wanaume wenye pesa is natural this is how they are wired, they have need for security for themselves and their children, we should not demonize them that they don't have true love. If we could learn from animals we would be able to accept this as a fact of life. Wewe kama unategemea atakukubali tu hata kama umefulia ndo utamchukulia kua ana mapenzi ya kweli, pole sana. You are no living in reality na wala mapenzi ya kweli hayapimwi hivyo.
Kwa upande wangu mapenzi ya kweli yanapimwa na commitment katika relation. Hiki ndio kipimo muhimu cha mapenzi ya kweli nothing more notghing less. Yanayofanyika ndani ya mapenzi hicho si kipimo kwa sababu kila couples wana mtizamo wao na mambo yao wanayoyapenda lakini cha muhimu ni how committed are they to each other?
 
If we look at animals we will realise that they are very selective in picking their mates, they normally don't just let any male to mount them; they normally look at one thing which I could easily pinpoint.
They normally look for desired traits so that they can pass those traits to their offspring's, this include physical characristics like colour and so on, also they normally look for a dominant male for protection.
Sisi binadamu tusidhani tuko tofauti na wanyama, We are exactly the same , Kuhusu desired characteristics, hii nadhani haina usishi wote huwa tunachagua. Tha is why if you do not have what is considered as desired characreristics basi umekwisha.
Secondly about protection, women like to be protected, this is how they are wired, this protection includes safety for her self and children and also security and assurance of material provision.
Kwa mantiki hii, swala la wanawake kupenda wanaume wenye pesa is natural this is how they are wired, they have need for security for themselves and their children, we should not demonize them that they don't have true love. If we could learn from animals we would be able to accept this as a fact of life. Wewe kama unategemea atakukubali tu hata kama umefulia ndo utamchukulia kua ana mapenzi ya kweli, pole sana. You are no living in reality na wala mapenzi ya kweli hayapimwi hivyo.
Kwa upande wangu mapenzi ya kweli yanapimwa na commitment katika relation. Hiki ndio kipimo muhimu cha mapenzi ya kweli nothing more notghing less. Yanayofanyika ndani ya mapenzi hicho si kipimo kwa sababu kila couples wana mtizamo wao na mambo yao wanayoyapenda lakini cha muhimu ni how committed are they to each other?

Thanks
for the sake of this discussion...if i may ask... how would you determined if there is commitment? At what stage of the relationship?
 
Thanks
for the sake of this discussion...if i may ask... how would you determined if there is commitment? At what stage of the relationship?

This is a long term thing, it is not something you can realize in a month or two, it can only be measured on stage by stage basis. Please not that this does not apply to women alone it applies to both men and women.

One of the good yardstick of measuring commitment is keeping your word and standing firm on what you have agreed in a relationship.
Kama mmekubaliana kwamba mtafanya kitu fulani, I expect each side to respect and keep the agreement and strive toward achieving what you have agreed no matter the cost. Endapo mmojawapo atavunja makubaliano hayo then hakukuwa na mapenzi ya kweli kati yenu. This is applicable in all stages of a relationship from courtship to marriage.

Most betrayals we see in relationships are mainly due to lack of commitment, when you are not committed, you will likely start magnifying weakness of your partner which might eventually leads you to start misbehaving, start judging, start comparing him/her to others, start complaining, nagging, start backbiting, and in the case worst case scenario start cheating.

Lakini where there is true committed Love mambo haya hayawezi kutokea because you are committed and deep down in your heart you have decided to keep your promises of love.

There is a favorite verse i would like to use to conclude.
''Place me like a seal over your heart, like a seal on your arm; for love is as strong as death, .... Songs of Solomin 8:6
 
mjadala wenu ni mzuri sanakila kijana anatakiwa awaze na kupata majibu ya hayo maswali kwa maana wapo kweli wanawake wenye mapenzi ya dhati na ya kweli ila wapo wanaopenda kuwafanya wanaume kuwa ndo atm zao
 
Back
Top Bottom