Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Smile, ngoja nikupa mfano wa kidunia zaidi labda utaelewa
Natataja nijaribu kutumia mfano wa ajira kukupa mantiki ya ndoa
Unapoajiriwa, mwajiri na mwajiriwa kila mmoja kuna kitu anatafuta kwa mwenzie.
Mwajiri anatafuta ujuzi wako ili aweze kuzalisha
Mwajiriwa anatafuta kipato, changamoto mpya, na labda kukua kikazi.
Lakini unapoajiriwa kuna vitu vinahitajika sambamba na ajira hiyo labda ofisi, usafiri, komputa, kalamu, simu n.k
Kulingana na makubaliano yenu mtaamua nani atoe vifaa hivyo nilivyoorodhesha, imezoeleka mwajiri kutoa ofisi na komputa lakini kuna makampuni kwa sasa machache yanakupa kazi, na hivyo vifaa utajiju ila yanakulipa kama kawaida.
Na kuna makampuni mengine yanakupa mengine wanatoa kila kitu.
Lakini yote hii inategemea na nini kila mmoja anataka toka kwa mwenzie.
Hali kadhalika ndoa, hizo nyumba, makochi, na masufuria yanasaidia tu ndoa kwenda smoothly, lakini siamini kama ndio sababu ya ndoa au ndio ndoa yenyewe.
Natumaini nimesaidia badala ya kukuchanganya zaidi.
Natataja nijaribu kutumia mfano wa ajira kukupa mantiki ya ndoa
Unapoajiriwa, mwajiri na mwajiriwa kila mmoja kuna kitu anatafuta kwa mwenzie.
Mwajiri anatafuta ujuzi wako ili aweze kuzalisha
Mwajiriwa anatafuta kipato, changamoto mpya, na labda kukua kikazi.
Lakini unapoajiriwa kuna vitu vinahitajika sambamba na ajira hiyo labda ofisi, usafiri, komputa, kalamu, simu n.k
Kulingana na makubaliano yenu mtaamua nani atoe vifaa hivyo nilivyoorodhesha, imezoeleka mwajiri kutoa ofisi na komputa lakini kuna makampuni kwa sasa machache yanakupa kazi, na hivyo vifaa utajiju ila yanakulipa kama kawaida.
Na kuna makampuni mengine yanakupa mengine wanatoa kila kitu.
Lakini yote hii inategemea na nini kila mmoja anataka toka kwa mwenzie.
Hali kadhalika ndoa, hizo nyumba, makochi, na masufuria yanasaidia tu ndoa kwenda smoothly, lakini siamini kama ndio sababu ya ndoa au ndio ndoa yenyewe.
Natumaini nimesaidia badala ya kukuchanganya zaidi.
Last edited by a moderator: