sasas vitanda vya nini kwani huyo mume hana jamani?
relax dear ..hujanielewa...ni sawa kwenda na vitanda ,masofa, majiko.maradio .matv ondoa mavyombo hayo ...yaani ni nini hasa at least mtu aende nacho au vyote vyote ni sawa ? na haina shida?
@King'asti hujanielewa ..ngoja nikuulize binti yako akiwa anaolewa utamnunulia kila kitu ?Nimekuelewa sana mamaa, watu wanaenda kwa mume na tani 2 za cement ama za nondo! Chezeiya mjini wewe!
Sasa siku ukipiga dili la cement ama tofali si utaogopa kupeleka home manake wewe ni wa vijiko?
Ndo maana nikasema vile mtakavyopenda kutumia mtaweka, kama mchuchu ana led ya 62 inches na maza kaleta ya kichina mnatupia bedroom tu.
aiseeee !ahahaaaa upo serias sio kitanda kimoja hata
sasas vitanda vya nini kwani huyo mume hana jamani?
sasa wewe unataka uende na mizigo yako yote kwani unaenda mbinguni?. mia
hiyo poa ,kuliko aolewe akute huyo mwanaume ana kila kitu mpka tambala la deki!
@King'asti hujanielewa ..ngoja nikuulize binti yako akiwa anaolewa utamnunulia kila kitu ?
sasa wewe unataka uende na mizigo yako yote kwani unaenda mbinguni?. mia
acha tu dear pesa?????????????duh,huyo mama noma. hataki mwanae aende kuteseka. kuna kigogo mmoja jina kapuni, ye akiozesha binti zake anawambia mumeo akikuzingua rudi. na akirudi anampa kazi katika moja ya makampuni yake na kumlipa mshahara kama wafanya kazi wengne. chezeiya pesa wewe!