chriss brown JF-Expert Member Nov 3, 2011 292 63 Dec 16, 2011 #1 Wadau,watu wanasema malumbano na ugomvi wa kila siku baina ya wapenzi ni sign ya kutopendana,je ni kweli?
Wadau,watu wanasema malumbano na ugomvi wa kila siku baina ya wapenzi ni sign ya kutopendana,je ni kweli?
Mwali JF-Expert Member Nov 9, 2011 7,014 5,610 Dec 16, 2011 #2 Uongo mtupu. Mkipendana mnagombana na kutukanana. Mkipigana ndio ishara ya full mapenzi kabisa! Ikibidi uaneni.
Uongo mtupu. Mkipendana mnagombana na kutukanana. Mkipigana ndio ishara ya full mapenzi kabisa! Ikibidi uaneni.