Kweli kabisa... hawa wezi wameonyesha pia ubunifuHahah Kama bike ingekuwa yangu ningecheka tu baada ya tukio maana huu wizi ni wa kikomedy zaid
ahahahahahahaa.....hawa wezi watakuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maana haya mapinduzi si ya kawaida
Jamaa pamoja na kuzibiti usalama wa Baiskeli yake lakini wezi wameondoka na Bike wakaacha matairi!
View attachment 51838
Mkuu kwa photo shop tu..., nakuaminia!Jamaa pamoja na kuzibiti usalama wa Baiskeli yake lakini wezi wameondoka na Bike wakaacha matairi!
View attachment 51838
ahahahahahahaa.....hawa wezi watakuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maana haya mapinduzi si ya kawaida