Kweli wanatofautiana..

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,513
11,276
Nimeziangalia hizi picha kwa umakini na nimegundua kuwa:
Kati ya wajumbe wote wa Serikali kwenye hiki kikao hakuna hata mmoja aliyejishughulisha kuweka kumbukumbu za kikao,
Ilhali kwa upande wa CHADEMA kila mmoja yuko bize kuandika kile kinachojadiliwa.
Je ndiyo tuseme kuwa wawakilishi wa Serikali walikuwa tayari na majibu ya nini kitakachoamuliwa hivyo hawakuhitaji kuweka kumbukumbu ya kinachoongelewa?
ama Hawako makini na majukumu yao ya kila siku kiasi cha kufikia ku-relax kwenye ishu nyeti kama hii?
If the later is true; inatupa picha gani wananchi juu ya vikao wanavyotuwakilisha sehemu nyingine?
ch2.jpg

TA4.jpg

TA1.jpg
 
Wote vilaza na wamezoea kuchukulia mabo yote kirahisi
Nimeziangalia hizi picha kwa umakini na nimegundua kuwa:
Kati ya wajumbe wote wa Serikali kwenye hiki kikao hakuna hata mmoja aliyejishughulisha kuweka kumbukumbu za kikao,
Ilhali kwa upande wa CHADEMA kila mmoja yuko bize kuandika kile kinachojadiliwa.
Je ndiyo tuseme kuwa wawakilishi wa Serikali walikuwa tayari na majibu ya nini kitakachoamuliwa hivyo hawakuhitaji kuweka kumbukumbu ya kinachoongelewa?
ama Hawako makini na majukumu yao ya kila siku kiasi cha kufikia ku-relax kwenye ishu nyeti kama hii?
If the later is true; inatupa picha gani wananchi juu ya vikao wanavyotuwakilisha sehemu nyingine?
View attachment 42310

View attachment 42312

View attachment 42311
 
Mimi naona wanafanana kwani wote wanapitia makubaliano yaliyofikiwa ila tukitaka tunaweza kupotoshana na kusema kwamba hawa wanachukua "notes" na hawa wanapitia makubaliano nasi tukaamini.

TA3.jpg
 
nami pia nimeamua kuchukua muda kuzisoma hizi picha, kabla ya hapo niliona ni picha tu lakini ni wazi kuwa hawa watu wa serikali are too arrogant au ni ujinga tu maana wenzetu wanasema katika majadiliano ni lazima uchukue minutes.
Unless kama ulivyosema kuwa wapo wanajua hata wakijadili vipi majibu wanayo (hata kama yanasema 1+1=11) na hawako tayari kuyabadilisha, sana sana wanasubiri posho ya huo mkutano!
Inasikitisha sana!
 
nami pia nimeamua kuchukua muda kuzisoma hizi picha, kabla ya hapo niliona ni picha tu lakini ni wazi kuwa hawa watu wa serikali are too arrogant au ni ujinga tu maana wenzetu wanasema katika majadiliano ni lazima uchukue minutes.
Unless kama ulivyosema kuwa wapo wanajua hata wakijadili vipi majibu wanayo (hata kama yanasema 1+1=11) na hawako tayari kuyabadilisha, sana sana wanasubiri posho ya huo mkutano!
Inasikitisha sana!

Ndivyo wajulikanavyo magamba
 
Nimeziangalia hizi picha kwa umakini na nimegundua kuwa:
Kati ya wajumbe wote wa Serikali kwenye hiki kikao hakuna hata mmoja aliyejishughulisha kuweka kumbukumbu za kikao,
Ilhali kwa upande wa CHADEMA kila mmoja yuko bize kuandika kile kinachojadiliwa.
Je ndiyo tuseme kuwa wawakilishi wa Serikali walikuwa tayari na majibu ya nini kitakachoamuliwa hivyo hawakuhitaji kuweka kumbukumbu ya kinachoongelewa?
ama Hawako makini na majukumu yao ya kila siku kiasi cha kufikia ku-relax kwenye ishu nyeti kama hii?
If the later is true; inatupa picha gani wananchi juu ya vikao wanavyotuwakilisha sehemu nyingine?
View attachment 42310

View attachment 42312

View attachment 42311
a
Huo ndo ulevi wa madaraka. Hawa wameshalewa. Hawasomi, hawanampango, wnaamini kila kitu kikopoa
 
Back
Top Bottom