Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,582
Kwa nini tu wajinga? Je ni asili yetu kuwa wajinga? Ndivyo tulivyo - wajinga?
Ndiyo, hadi hivi sasa sijapata ushahidi wowote unaonionesha vingine.
Kwa nini tu wajinga? Je ni asili yetu kuwa wajinga? Ndivyo tulivyo - wajinga?
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi.
Well tumeachana navyo kwa sababu tu wajinga! Kama kuna kipindi tulikuwa tunatengeneza hayo Manyumbu (nadhani yalikuwa malori) enzi hizo sasa hivi usikute wangekuwa wamesha transition ktk kutengeneza passenger cars kama sedan na SUV...
Steve knowing ni is a necessary but sufficient condition for a society not stagnating/Kujua ni muhimu lakini hakutoshi kuifanya jamii isidumae
Nyani kwa hiyo kabla hatujaachana na kutengeneza bidhaa zetu wenye, yaani wakati tunatengeneza nyumbu n.k., tulikuwa hatukuwa kama tulivyo sasa - wajinga - na je hiyo sio hoja tosha ya kuonesha kuwa ujinga sio asili yetu?
Je, unamaanisha kuwa unaweza kujua kitu (cha kukudumaza) lakini usiwe na jitihada za kukukwamua/kukuondoa wewe kutoka kwenye huo mdumao?
Kwa nini tu wajinga? Je ni asili yetu kuwa wajinga? Ndivyo tulivyo - wajinga?
Namaanisha unaweza ukajua na ukafanya jitihada na bado ukabaki umedumaa - kwani waafrika bado hatujui vinavyotudumaza? Tulipokuwa tunapigana na maadui wakuu watatu wa maendeleo: umaskini, ujinga na maradhi (Mwalimu aliongeza adui mkuu wa nne - rushwa) ina maana tulikuwa hatujui kinachodumaza? Sasa inakuwaje bado tuna umaskini, ujinga, maradhi na rushwa iliyokithiri mpaka sasa tunaiita ufisadi?
Nyani kwa hiyo kabla hatujaachana na kutengeneza bidhaa zetu wenye, yaani wakati tunatengeneza nyumbu n.k., tulikuwa hatukuwa kama tulivyo sasa - wajinga - na je hiyo sio hoja tosha ya kuonesha kuwa ujinga sio asili yetu?
Naomba kuuliza swali la kizushi.
Kwanini wakati tunapata uhuru, Waafrika hatukuamua kuachana na mambo yote ya kigeni na kurudia maisha/utamaduni wetu tuliokua tunaishi kabla ya utumwa?
Kwanini hatukuvua mashati, suruali, blouse, sketi, gauni, kanzu, soksi, chupi na kuvaa manyanga, majani kisha kuondoka mijini na kurudi maeneo yetu ya asilia?
No, we were just going through the motions and that's why we reverted back to being who we were (are) by stoping doing those things. You can't go against nature for long.
Jibu la swali lako linahusiana na tafsiri uliyonayo mtu kuhusiana na utamaduni, maendeleo na kupata uhuru.
Wamaasai wengi mbona bado wanajali sana utamaduni wao na kuendelea kuthaminiwa?
Wewe unavitafsiri vipi hivi vitu?
Safi sana. Kwanini Wamasai wote hawaishi maeneo yao asilia, hawavai mavazi yao asilia na kuongea kimasai? Kwanini hawakufanya hivi wakati wa uhuru? Kwanini Waafrika wote wa makabila yote hawakufanya hivi wakati wa uhuru?
No, we were just going through the motions and that's why we reverted back to being who we were (are) by stoping doing those things. You can't go against nature for long.
I love this predication!No wonder Mwalimu predicted that "in the end Tanzania will return to the values and basic principles of the Arusha Declaration"!
I love this prediction! Any timelines?
Signs of the times are everywhere.
And there's a brand new feeling in the air.
Keep your eyes upon the eastern sky.
Lift up your head, redemption draweth nigh.
Law separating business and politics coming, says PM Pinda
By Bilal Abdul-aziz
19th June 2009
Prime Minister Mizengo Pinda
Prime Minister Mizengo Pinda yesterday informed the National Assembly that new legislation on separating business and politics, as directed by President Jakaya Kikwete will be ready before the next general elections.
Fielding direct questions from Members of Parliament here, the premier said the process towards drafting the law was in an advanced stage and he was certain
that a Bill for the same would be tabled in the House and new legislation enacted before going to the polls next year.
"The process has reached final stages; I cannot tell you that the Bill will be brought to Parliament in the next parliament meeting, but I am certain that it will be ready before general elections," said Pinda.
The PM, who was responding to a question from Victor Mwambalaswa (Lupa, CCM), cautioned however, that legislation was not the only effective way to fight dishonesty among leaders.
"We must fight temptations within ourselves," insisted the premier. In his question, Mwambalaswa suggested for the immediate adoption of a new law to implement the head of state's order and thereby curb dishonesty among political leaders.
Meanwhile, Prime Minister Pinda appealed for patience from lawmakers and the general public as the government finalised preparations for implementation of the National Identity Cards project.
Responding to Beatrice Shelukindo (Kilindi, CCM) he said: "It's true that the project has taken long and is yet to be completed, but it has gone very far. It is now at the level of cabinet for final decision."
The lawmaker had demanded explanation from the government over failure to complete the project after about 22 years.
SOURCE: THE GUARDIAN
Waafrika wamekulia katika natural abundance, kwa hiyo hawakuwa na uchoyo naturally. Central theme ya Capitalism ni uchoyo, everybody for himself, Waafrika baba mmoja akisoma na kuwa wa kwanza kufika Chuo Kikuu ukoo mzima utahamia kwake, na hawezi kuwafukuza, hatimaye kila kitu kinakuwa bogged down, tunaendekeza welfare system, etc.
Wenzetu wameanza kufukuzana na wanyama wakali kwenye mapango ya Ulaya huko, huku wakipigana na baridi kali, wakajua principle ya "everybody for himself" zamani sana, wakaanza mashindano zamani sana, mashindano haya ndiyo yaliyo waletea maendeleo.
Kwa hiyo kwa mtazamo wa utu, waafrika tumewazidi watu wa west, kwa mtazamo wa kiuchumi wa west wametushinda waafrika.
Kwa sababu ya choyo, sisi hatuna choyo wao wana choyo.
Hata baba akija kumtembelea mwanae (kama baba hajawekwa nursing home) anaonekana nuisance na swali la kwanza ni "Unakaa siku ngapi?".Swali hili kiafrika ni tusi!
Watu wanapimiana kila kitu, kuanzia vyakula mpaka dakika anazooga mtu bafuni, sisi afrika tulikuwa tunaangua maembe mtini tu na kuoga mtoni.
Kwa hiyo kinachotutofautisha ni choyo, na choyo kimekujaje? Kutokana na mazingira.