Kweli Waafrika Ndivyo Tulivyo - We Aint 'Capitalist Niggers'!

Na kwa nini ichukue kusoma kitabu hicho ndo mtu ujitambue?

Unaniuliza mimi au mwanamke wa shoka aliyesema tunapaswa kukisoma ili tujitambue? Kama ni mimi sina jibu, nimekisoma na hakijanifanya nijitambue.
 
Why don't you drive Japanese vehicles? Coz they look down on us?

Frankly speaking baada ya Kusoma Capitalist Nigger nilichukia hiyo fact ya wao kutudharau....
I just decided as a gesture to myself...LOL...no Jap car for me.I know it sounds funny but kila mtu ana jinsi ya kudeal na anger yake!( but this doesnt mean that I can really do away with all jap gadgets.... afterall they wont feel anything by me not buying their stuff anyway...but still i did it for me).
 
Kwa mfano sikujua kuwa wajapan wanatudharau sana watu weusi na yet sisi weusi ndiyo mabingwa sana wa kununua japs cars, stereos etc.I always though weupe ndiyo wana prejudice kuhusu weusi more so the black Americans.
Kubadilika kwenye ni pamoja na kutokujali sana kuwapatronise kwa bidhaa zao LOL..YES i DONT DRIVE JAP VEHICLE!

Kwa hiyo umejitambua kuwa unadharaulika? Na pia umetambua kuwa huhitaji magari ya wanaokudharau? Kama huo ndio utambuzi ambao Capitalist Nigger umekupa sasa umekufanya uwe na mbadala gani?
 
Frankly speaking baada ya Kusoma Capitalist Nigger nilichukia hiyo fact ya wao kutudharau....
I just decided as a gesture to myself...LOL...no Jap car for me.I know it sounds funny but kila mtu ana jinsi ya kudeal na anger yake!( but this doesnt mean that I can really do away with all jap gadgets.... afterall they wont feel anything by me not buying their stuff anyway...but still i did it for me).

But do you really have much of a choice with cars? Coz either way you go you gonna have the same thing be it German, British, American, Italian....it's really hard to escape Japanese products
 
Kwa hiyo umejitambua kuwa unadharaulika? Na pia umetambua kuwa huhitaji magari ya wanaokudharau? Kama huo utambuzi nduo utambuzi ambao Capitalist Nigger umekupa sasa umekufanya uwe na mbadala gani?

Ingawa hujaniuliza mimi but I'll chime in anyway. Hakuna cha mbadala hapo hadi Afrika itakapoanza kuzalisha bidhaa zake yenyewe. La sivyo utakuwa unaruka majivu na kukanyaga moto au mkojo na kukanyaga mavi
 
WomenofSubstanc,
maamuzi mazuri sana kwanza kama unaiushi Marekani yanini Japanese car halina mvuto nafasi wala hadhi ya Huku labda la kuendea kazini. Mambo yote American car!... najua wa Europe watakuja haraka...wakali hao...
 
Hii habari ya ku boycott Japanese cars wakati una Sony Camcorder na Mitsubishi HDTV ni delusion, makampuni ni yale yale. Halafu hata hayo magari non-Japanese hujui parts zimetoka wapi.

Unaweza ku boycott ndizi kutoka Costa Rica, siyo Japanese products.Unless you assume a religiously Jewish diet approach about it.
 
But do you really have much of a choice with cars? Coz either way you go you gonna have the same thing be it German, British, American, Italian....it's really hard to escape Japanese products

Mbona kuna gari yetu inaitwa 'nyumbu' courtesy of wanajeshi wetu wabunifu!
 
But do you really have much of a choice with cars? Coz either way you go you gonna have the same thing be it German, British, American, Italian....it's really hard to escape Japanese products

I know but honestly that revelation came as a shock to me....at least whites..hao nilikuwa najua wanatuona kivingine....but the japs?? sikua najua!
Ni kama Tom Hilfiger at one time alivyosema products zake hajatengeza for the blacks!Yet unashangaa kuna weusi wanajishaua na hizo products..as if TH is the only piece of meat on earth!
 
Mbona kuna gari yetu inaitwa 'nyumbu' courtesy to wanajeshi wetu wabunifu!

Oh yeah...yanauzwa wapi (dealership) hayo magari? Unaweza kuweka picha?

Halafu huo sio ubunifu wa wanajeshi wetu. Blueprint za kutengeneza magari tayari zipo
 
Ingawa hujaniuliza mimi but I'll chime in anyway. Hakuna cha mbadala hapo hadi Afrika itakapoanza kuzalisha bidhaa zake yenyewe. La sivyo utakuwa unaruka majivu na kukanyaga moto au mkojo na kukanyaga mavi

Now you are talking - tulianza na kutengeneza gari letu la 'nyumbu', siasa-uchumi yetu ya 'ujamaa', vitabu vyetu pale 'tph' sasa mbona tumeachana navyo?
 
Hii habari ya ku boycott Japanese cars wakati una Sony Camcorder na Mitsubishi HDTV ni delusion, makampuni ni yale yale. Halafu hata hayo magari non-Japanese hujui parts zimetoka wapi.

Unaweza ku boycott ndizi kutoka Costa Rica, siyo Japanese products.Unless you assume a religiously Jewish diet approach about it.

Bluray
Najua hiyo na ndiyo nikasema it was just a simple gesture to myself - by not being that loyal to them... ofcourse huwezi kuwakwepa..
 
I know but honestly that revelation came as a shock to me....at least whites..hao nilikuwa najua wanatuona kivingine....but the japs?? sikua najua!
Ni kama Tom Hilfiger at one time alivyosema products zake hajatengeza for the blacks!Yet unashangaa kuna weusi wanajishaua na hizo products..as if TH is the only piece of meat on earth!

Wajapani wanawabagua wachina na Wakorea, itakuwa weusi?

Wajapani hawataki hata vizazi vyao vya Brazilian-Japanese / South American Japanese virudi kwao ingawa uchumi wao unahitaji watu zaidi.

Wazungu wamepata opportunity ya kutubagua na kujifunza kwamba ubaguzi ni upumbavu (wengi).Wajapani hawajapata opportunity hiyo na prejudice ya West ime wapa bias zaidi bila ya kuwapa experience ya kujifunza.
 
Bluray,
Mkuu ni jinsi tunavyofikiria tu.. hakuna kitu kinatengenezwa Japan hakitengenezwi nchi nyinginezo na kwa uhakika japanese products are not the best at all..tunafikiria, mazoea au labda tumefundishwa kuamini hivyo..
 
Now you are talking - tulianza na kutengeneza gari letu la 'nyumbu', siasa-uchumi yetu ya 'ujamaa', vitabu vyetu pale 'tph' sasa mbona tumeachana navyo?

Well tumeachana navyo kwa sababu tu wajinga! Kama kuna kipindi tulikuwa tunatengeneza hayo Manyumbu (nadhani yalikuwa malori) enzi hizo sasa hivi usikute wangekuwa wamesha transition ktk kutengeneza passenger cars kama sedan na SUV...
 
Nyani Ngabu,
Mkuu nasikia hayo malori ya Nyumbu kuna baadhi bado yanafanya kazi hadi hii leo tunavyozungumza..
 
Bluray,
Mkuu ni jinsi tunavyofikiria tu.. hakuna kitu kinatengenezwa Japan hakitengenezwi nchi nyinginezo na kwa uhakika japanese products are not the best at all..tunafikiria, mazoea au labda tumefundishwa kuamini hivyo..

My point is not at all about the superiority of Japanese products.

Rather it is about the interconnectedness of products, you cannot buy a Japanese product without Taiwanese transistors, Korean this or that.The reverse is also true.So when you say you are not buying Japanese, do you inspect every little part of every product you buy? It is impossible.
 
Last edited:
Well tumeachana navyo kwa sababu tu wajinga! Kama kuna kipindi tulikuwa tunatengeneza hayo Manyumbu (nadhani yalikuwa malori) enzi hizo sasa hivi usikute wangekuwa wamesha transition ktk kutengeneza passenger cars kama sedan na SUV...

Kwa nini tu wajinga? Je ni asili yetu kuwa wajinga? Ndivyo tulivyo - wajinga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom