ehh USHENZINI NDO SEHEMU GAN?
tandale au masak?
<br />Nakushukuru kwakweli ngoja ni karudishe line kisha nitaweka namba ya Mpesa hapa mama!
Kariakoo ndio eneo linaloongoza kwa wizi wa simu, kwahiyo Faiza Foxy anaishi ushenzini.Nna uhakika huko sio uswahilini huko ni ushenzini.
Nimecheka kweli. Pole ulie ibiwa uje unipeleke kwako tumzibe haja ndogo. Atairejesha au atakoma hatorudia tena.Ni Uswahilini ila mtaa ni wa ushenzini
hahaahhaahhahah umenikumbusha mbali sana,hamna sehemu uswekeni nshakuona kama Temboni kwa kweli!Pole sana itakuwa Kimara temboni ndio uswahilini au Bonyokwa
Kweli uswahilini noumaa wamenikombea ka blackberry kangu usiku! Wamechana nyavu ya dirisha wakabeba simu na kuniachia chaji tu.Yan sijui niende kwa bibi nikamwambie, maana wameniharibia siku vibaya sanaaaa!!!!!!!!
<br />Pole sana itakuwa Kimara temboni ndio uswahilini au Bonyokwa
Inawezekana wewe ni miongoni mwao.nimezaliwa na kukulia uswahilini...ila mpaka nnavyoongea hapa naishi uswahilini sijawahi ibiwa hata kijiko!!!
<br /> <br / Kama sio Vingungu basi ni Kiwalani maana nako hawajambo!! Ila pole mkuutabata nini?
<br /> <br / Kama sio miongoni mwao basi wanakuheshim kutokana na utaalamu uliokua nao!nimezaliwa na kukulia uswahilini...ila mpaka nnavyoongea hapa naishi uswahilini sijawahi ibiwa hata kijiko!!!
Bastola haizuii wezi.Dawa ni kumiliki bastola