Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kweli uswahilini noumaa wamenikombea ka blackberry kangu usiku! Wamechana nyavu ya dirisha wakabeba simu na kuniachia chaji tu.Yan sijui niende kwa bibi nikamwambie, maana wameniharibia siku vibaya sanaaaa!!!!!!!!