Nafikiri kila mtu anaangalia kinachoendelea bungeni yaani lugha ni taaaaaaaaaaaabu, kwa nini wasitafute utaratibu wa kutumia lugha adhimu ya kiswahili maana hii ni shida.
mi wananichekesha tu,sijui wataenda ongea nini huko EAP hawa si wanawapeleka watoto wao international kwa nini nao wasiende jamani kukimprove kidogo mana aibu,haswa yule wa nccr katia fola
Nafikiri kila mtu anaangalia kinachoendelea bungeni yaani lugha ni taaaaaaaaaaaabu, kwa nini wasitafute utaratibu wa kutumia lugha adhimu ya kiswahili maana hii ni shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.