Kweli ung'eng'e ni janga la kitaifa

Solita

Member
Nov 29, 2010
47
4
Nafikiri kila mtu anaangalia kinachoendelea bungeni yaani lugha ni taaaaaaaaaaaabu, kwa nini wasitafute utaratibu wa kutumia lugha adhimu ya kiswahili maana hii ni shida.
 
mi wananichekesha tu,sijui wataenda ongea nini huko EAP hawa si wanawapeleka watoto wao international kwa nini nao wasiende jamani kukimprove kidogo mana aibu,haswa yule wa nccr katia fola
Nafikiri kila mtu anaangalia kinachoendelea bungeni yaani lugha ni taaaaaaaaaaaabu, kwa nini wasitafute utaratibu wa kutumia lugha adhimu ya kiswahili maana hii ni shida.
 
willy@new york big up sana though i dont support ccm lkn i can see potential in you!
 
kuna mmoja ulimi uliteleza akasema Honorable spear(akimaanisha honorable speaker
 
mm naona hata ukingea broken poa tu ili mradi ueleweke unaongelea nn tu kama vile wachina,ili mradi biashara iende
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom