POLITE MAN
Member
- Oct 14, 2011
- 41
- 7
niambieni wanajamii ni kweli watakua siliazi ukilinganisha na idadi ya watu walioomba
niambieni wanajamii ni kweli watakua siliazi ukilinganisha na idadi ya watu walioomba
Unajua UDOM ina watawala wa ajabu sana,na huyu HR wao natilia shaka uwezo wake,kilichofanyika UDOM ni kuchukua majina ya waliomba kazi bila kuangalia kigezo kingine chochote,sasa tazama mfano huu mdogo..kwenye position ya Administrative officer wanahitaji watu 12 but applications are more than 2000 tazama hii ratio ilivyo kuwa kituko...Nadhani wangeweza kuwachuja watu kwa kutumia vitu kama vyeti,GPA,field of study maana kuna watu wa IT watakuwa nao wamo,watu ni vichwa ngumu.Maana kwa ratio hii ya 12 kwa 2000 ni hatari,hao kumi na wawili watawekwa na VC,DVCs,HR,Deans,Heads of departments nk...Ni kweli ukiwa na wide choice tunasema kwamba una nafasi ya kupata competent applicant but is not this way.....Hii ni aibu hata kwa huyu HR wa hiki chuo sijui kasoma wapi masuala ya Human Resource management.Otherwise there is no need kukata tamaa,but ningekuwa ni mimi ningekwambia usiende ni siasa hizi.........