wakuu kwa mujibu wa taarifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG), asilimia 96 (96%) ya uvunaji wa mazao ya misitu unafanyika haramu kinyume cha sheria na taratibu na hivyo kutochangi kwenye pato la taifa. Ni asilimia 4 tu ya mazao ya misitu yanavunwa kihalali. Ikumbukwe kuwa kila mwaka zaidi ya hekta laki 4 za misitu hukatwa hapa Tanzania (kwenye shamba la bibi)
source: TBC habari ya saa mbili usiku huu.
Tumethubutu, tumeweza na tunazidi kusonga mbele
Du kwa kweli "serikali lege lege haiwezi kukusanya kodi" by JK Nyerere.
source: TBC habari ya saa mbili usiku huu.
Tumethubutu, tumeweza na tunazidi kusonga mbele
Du kwa kweli "serikali lege lege haiwezi kukusanya kodi" by JK Nyerere.