Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
kazi yao ni kula kodi za wananchi bure! Sisi sera yetu ni majimbo na sii huu upuuzi wa mkuu wa mkoa mkurugenzi wa mkoa mkuu wa wilaya mkurugenzi wa wilaya yaani wizi mtupu
Ni makada wa chama cha mapinduzi na wako pale kwa maslahi ya chama japo kupitia mgongo wa ukuu wa mkoa/wilaya usiumize kichwa juu yao kwa sasa time will come
Ndugu wana JF kila mara najiuliza hivi ni nini kazi za mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya katika kumletea mwananchi maendeleo. Nimefuatilia sana lakini sioni umuhimu wa hawa wateule wa rais zaidi ya kuwa wapambe na vikwazo vya maendeleo. Kama kuna mwenye kujua anjuze kazi za hawa mabwana tafadhali naomba anisaidie maana nimefuatilia nimeshindwa.
Mkuu wa mkoa ni Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ni Mkuu wa wilaya. Wewe Mkuu wako wa mkoa ni nani? na wa wilaya je?
Wishful thinking.
Tomorrow never comes.
Mla, mla leo, mla jana kala nini? kesho unaijuwa weye?
akihutubia
mkutano wa chadema huko kilombero mh tundu lisu amesema viongozi wa
wilaya na mikoa wachaguliwe na wananchi ili wawe na kasi ya kuwaletea
maendeleo!!
akihutubia
mkutano wa chadema huko kilombero mh tundu lisu amesema viongozi wa
wilaya na mikoa wachaguliwe na wananchi ili wawe na kasi ya kuwaletea
maendeleo!!
akihutubia
mkutano wa chadema huko kilombero mh tundu lisu amesema viongozi wa
wilaya na mikoa wachaguliwe na wananchi ili wawe na kasi ya kuwaletea
maendeleo!!
Sera ya Majimbo hiyp, haitufai kwa sasa.akihutubia
mkutano wa chadema huko kilombero mh tundu lisu amesema viongozi wa
wilaya na mikoa wachaguliwe na wananchi ili wawe na kasi ya kuwaletea
maendeleo!!
Hii itakuwa tz tu na lazima uwe umelewa au umevuta kumuelewa huyu tobo lisu
Poor Governance!
Sera ya Majimbo hiyp, haitufai kwa sasa.
Hii itakuwa tz tu na lazima uwe umelewa au umevuta kumuelewa huyu tobo lisu
Hakuna haja ya kuwa na vyeo hivi kwani havina tija na vinadumaza maendeleo ya nchi kutokana na matumizi yake makubwa ya ofisi zao. Kazi za maDC zinaweza kufanywa na District executive directors na kazi za MaRc zinaweza kufanywa na Regional Administrative secretaries. MaDC na MaRC ni mzigo wanaotwishwa wananchi kwa sababu ya kuwapa vyeo wapambe wa wanasiasa!! Kutaka wananchi ndio wawachague MaDC na MaRC ni kuwasumbua wananchi kwani wanachagua madiwani na wabunge kama wawakilishi katika sehemu zao!
jamani kwa wananchi wa kawaida wanafahamu dadizo la MA-DED na Ma-RAS kwa mfumo wowote ule wa chama kitakachokuwa madarakani madc na marc ni muhimu ni kuliko hao wa halmashauri ambao wengi wao ni wezi waliokubuhu wa mali za umma