Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Wabongo wee waache tuu, kuna mtu namfamu hapa hapa bongo, anamiliki cruise ship, anamiliki jet, na yuko very low profile ndugu zake ndio matanuzi na kujitapa kutwa kucha!. Huyo mwenye Bugati sio hiyo Veylon bali ni Mama mmoja wa Kiarabu, mwenye Ferrari ni yule mhindi wa rada, Mwenye McLaren ni mswahili mwenzetu!. Bongo tuna tajiri wetu mmoja anayependwa kujatwa tajwa sana kwenye nyimbo, huku amejisheheneza kwa micheni kibao na mipete ya almasi, ile Hummer zimetoka tuu akanunua, walipotoa latest version, akanunua tena na walipotoa hii version ya sasa, kanunua tena, anazo 3 ili kuonyesha jeuri ya utajiri!. Wakati hao wakionyeshea, wako matajiri wa ukweli, wanamiliki mpaka visiwa!, wamejinyamazia kimya kabisa na account zao ziko Credit Sussie zimejituliza tuli!.
Haaahaaa! Tajiri huyu si yule anayefanya kazi za kuuza madini na vito feki? Kinachonichosha ni kelele zetu hizi...do we really make money through proper channels maana kelele hizi ni kama tunapata kwa zali la mentali vile.