Kweli Tambwe Hiza kilaza!!!

Jan 17, 2011
28
6
Nimesoma maoni mengi sehemu tofauti tofauti kama kwenye mitandao na kwenye magazeti machache kwamba mtu wa propaganda wa CCM,Tambwe Hiza, ni mweupe kabisa kichwani. Nilikuwa sijaamini sana lakini leo nimeamini kwamba huyu bwana ni mweupe kuliko weupe wenyewe kichwani kutokana na maoni aliyojaribu kuyatoa kuhusu nini cha kuwemo kwenye katiba mpya.Huyu bwana ni mjinga kwa sababu:-
  • anapinga hoja za kupunguzwa kwa mamlaka makubwa ya rais ya kuteua watendaji mbalimbali wa umma akidhani kuwa mamlaka hayo yanayoshauriwa yapunguzwe ni ya Jakaya Kikwete wa CCM wakati wenye akili wanapendekeza hivyo kwa kuzingatia yeyote anaweza kupenya penya hadi kupata urais hata mpumbavu fulani au katili fulani kama vipengele vingine vya katiba vitatoa mwanya wa kuwezesha hilo, endapo hatutakuwa makini kuandika katiba nzuri.Ikitokea hivyo, rais huyo atafanya uteuzi wa ukichaa kichaa kwa hasara ya taifa.
  • anapinga hoja hiyo bila kujali uteuzi wa rais unarudisha nyuma maendeleo ya watu wa vyama vyote vya siasa kwani wateuliwa hao huwajibika kwa mteuzi na si kwa watu wakiwemo wana CCM.
  • anapinga hoja hiyo bila kufahamu kwamba CCM haitakuwa madarakani milele na hivyo kuna siku rais atatoka upinzani.
  • hana uwezo hata mdogo wa kusoma alama za nyakati kujua kuwa watanzania wa sasa wanataka mabadiliko na hawawezi kumvumilia mjinga yeyote anayejaribu kuturudisha nyuma.Angekuwa na uwezo huo asingetoa hoja ya kijinga na alipoanza kupewa kwa vitendo taarifa na watanzania wenzake kwamba alikuwa anaboa, angenyamaza mara moja badala ya kukomaa kijinga na kuadhirika vibaya.
  • hajui kwamba maoni yaliyokuwa yanatolewa yalikuwa ya wananchi binafsi licha ya baadhi kuwa viongozi wa vyama vya siasa.Kwa ujinga wake yeye eti alikuwa akitoa maoni hayo kama mwakilishi wa CCM! CCM kama entity haipaswi kuwa na maoni mamoja kuhusu nini cha kuwemo kwenye katiba bali watu binafsi ndiyo wenye maoni binafsi hata kama baadhi ya maoni hayo yatavipendelea vyama wanavyoongoza,wanavyokuwa ndani yake au wanavyoshabikia.
  • hajui kwa nini alizomewa! Angekuwa na akili kidogo tu asingeshanga kuzomewa sana na kutakiwa atoke kwa upupu aliokuwa akiongea
CCM wote nitawaona bogus kama watatoa maoni kichama ya kulaani kilichomkuta bogus Tambwe Hiza.Kweli Tambwe Hiza kilaza!!!
 
Hakuna mtu bogus kama huyu jamaa...analalamika kuzomewa hajui kuwa ni nguvu ya umma? Hiyo ni dalili na ujumbe tosha kwa hao wezi kuwa watu wamewachoka na CCM..akapeleke ujumbe kwa wakubwa wake...

Message send....
 
ila aibu,maana hata watoto zake watamuona on media,na wakwe je?du

tumbo hli!!
 
Nimesoma maoni mengi sehemu tofauti tofauti kama kwenye mitandao na kwenye magazeti machache kwamba mtu wa propaganda wa CCM,Tambwe Hiza, ni mweupe kabisa kichwani. Nilikuwa sijaamini sana lakini leo nimeamini kwamba huyu bwana ni mweupe kuliko weupe wenyewe kichwani kutokana na maoni aliyojaribu kuyatoa kuhusu nini cha kuwemo kwenye katiba mpya.Huyu bwana ni mjinga kwa sababu:-

  • anapinga hoja za kupunguzwa kwa mamlaka makubwa ya rais ya kuteua watendaji mbalimbali wa umma akidhani kuwa mamlaka hayo yanayoshauriwa yapunguzwe ni ya Jakaya Kikwete wa CCM wakati wenye akili wanapendekeza hivyo kwa kuzingatia yeyote anaweza kupenya penya hadi kupata urais hata mpumbavu fulani au katili fulani kama vipengele vingine vya katiba vitatoa mwanya wa kuwezesha hilo, endapo hatutakuwa makini kuandika katiba nzuri.Ikitokea hivyo, rais huyo atafanya uteuzi wa ukichaa kichaa kwa hasara ya taifa.
  • anapinga hoja hiyo bila kujali uteuzi wa rais unarudisha nyuma maendeleo ya watu wa vyama vyote vya siasa kwani wateuliwa hao huwajibika kwa mteuzi na si kwa watu wakiwemo wana CCM.
  • anapinga hoja hiyo bila kufahamu kwamba CCM haitakuwa madarakani milele na hivyo kuna siku rais atatoka upinzani.
  • hana uwezo hata mdogo wa kusoma alama za nyakati kujua kuwa watanzania wa sasa wanataka mabadiliko na hawawezi kumvumilia mjinga yeyote anayejaribu kuturudisha nyuma.Angekuwa na uwezo huo asingetoa hoja ya kijinga na alipoanza kupewa kwa vitendo taarifa na watanzania wenzake kwamba alikuwa anaboa, angenyamaza mara moja badala ya kukomaa kijinga na kuadhirika vibaya.
  • hajui kwamba maoni yaliyokuwa yanatolewa yalikuwa ya wananchi binafsi licha ya baadhi kuwa viongozi wa vyama vya siasa.Kwa ujinga wake yeye eti alikuwa akitoa maoni hayo kama mwakilishi wa CCM! CCM kama entity haipaswi kuwa na maoni mamoja kuhusu nini cha kuwemo kwenye katiba bali watu binafsi ndiyo wenye maoni binafsi hata kama baadhi ya maoni hayo yatavipendelea vyama wanavyoongoza,wanavyokuwa ndani yake au wanavyoshabikia.
  • hajui kwa nini alizomewa! Angekuwa na akili kidogo tu asingeshanga kuzomewa sana na kutakiwa atoke kwa upupu aliokuwa akiongea
CCM wote nitawaona bogus kama watatoa maoni kichama ya kulaani kilichomkuta bogus Tambwe Hiza.Kweli Tambwe Hiza kilaza!!!
Aliongelea wapi upupu huo manake nimemwona TBC akikumbana na nguvu ya umma
 
Nimesoma maoni mengi sehemu tofauti tofauti kama kwenye mitandao na kwenye magazeti machache kwamba mtu wa propaganda wa CCM,Tambwe Hiza, ni mweupe kabisa kichwani. Nilikuwa sijaamini sana lakini leo nimeamini kwamba huyu bwana ni mweupe kuliko weupe wenyewe kichwani kutokana na maoni aliyojaribu kuyatoa kuhusu nini cha kuwemo kwenye katiba mpya.Huyu bwana ni mjinga kwa sababu:-
  • anapinga hoja za kupunguzwa kwa mamlaka makubwa ya rais ya kuteua watendaji mbalimbali wa umma akidhani kuwa mamlaka hayo yanayoshauriwa yapunguzwe ni ya Jakaya Kikwete wa CCM wakati wenye akili wanapendekeza hivyo kwa kuzingatia yeyote anaweza kupenya penya hadi kupata urais hata mpumbavu fulani au katili fulani kama vipengele vingine vya katiba vitatoa mwanya wa kuwezesha hilo, endapo hatutakuwa makini kuandika katiba nzuri.Ikitokea hivyo, rais huyo atafanya uteuzi wa ukichaa kichaa kwa hasara ya taifa.
  • anapinga hoja hiyo bila kujali uteuzi wa rais unarudisha nyuma maendeleo ya watu wa vyama vyote vya siasa kwani wateuliwa hao huwajibika kwa mteuzi na si kwa watu wakiwemo wana CCM.
  • anapinga hoja hiyo bila kufahamu kwamba CCM haitakuwa madarakani milele na hivyo kuna siku rais atatoka upinzani.
  • hana uwezo hata mdogo wa kusoma alama za nyakati kujua kuwa watanzania wa sasa wanataka mabadiliko na hawawezi kumvumilia mjinga yeyote anayejaribu kuturudisha nyuma.Angekuwa na uwezo huo asingetoa hoja ya kijinga na alipoanza kupewa kwa vitendo taarifa na watanzania wenzake kwamba alikuwa anaboa, angenyamaza mara moja badala ya kukomaa kijinga na kuadhirika vibaya.
  • hajui kwamba maoni yaliyokuwa yanatolewa yalikuwa ya wananchi binafsi licha ya baadhi kuwa viongozi wa vyama vya siasa.Kwa ujinga wake yeye eti alikuwa akitoa maoni hayo kama mwakilishi wa CCM! CCM kama entity haipaswi kuwa na maoni mamoja kuhusu nini cha kuwemo kwenye katiba bali watu binafsi ndiyo wenye maoni binafsi hata kama baadhi ya maoni hayo yatavipendelea vyama wanavyoongoza,wanavyokuwa ndani yake au wanavyoshabikia.
  • hajui kwa nini alizomewa! Angekuwa na akili kidogo tu asingeshanga kuzomewa sana na kutakiwa atoke kwa upupu aliokuwa akiongea
CCM wote nitawaona bogus kama watatoa maoni kichama ya kulaani kilichomkuta bogus Tambwe Hiza.Kweli Tambwe Hiza kilaza!!!

Huyu naye si ni gamba la nyoka mwenye sumu kali kwa watanzania(CCM) nafikiri wakati wa molting atabaki kwenye machaka ili joka lenye ngozi mpya likiwa na sumu ileile litokomee na kuendelea kuwamwagia sumu ya umasikini watanzania
 
Tambwe hajui anaongea na watu wa aina gani. Hajui anaongea na wasomi na watu waliochoka maisha magumu. Hajui watz wenye njaa na matatizo lukuki hawana cha kupoteza. Tambwe anaongea kana kwamba amekatwa kichwa. Tabula rasa
 
tambwe hajui anaongea na watu wa aina gani. Hajui anaongea na wasomi na watu waliochoka maisha magumu. Hajui watz wenye njaa na matatizo lukuki hawana cha kupoteza. Tambwe anaongea kana kwamba amekatwa kichwa. Tabula rasa

STD VII, tusimlaumu sana sometimes.
 
Na ndio miongoni mwao washauri wa rais wa kutegemewa sana baada akina Sheikh wa Magomeni hao.
 
Jamani ukisikia ngome ya CCM ndo kina Tambwe, Makamba, Chiligati, RA, EL, JK, Mkono endelea.
 
Yaani ilikuwa ni kwa mtindo ule ule kama alivyofanyiwa Bagenda pale UDSM majuzi. Wengine tulimuonya Bagenda kwamba umma hawana furaha na yeye kujiunga kambi moja na mafisadi akadhania kwamba namtania mpaka pale alipokumbana na nguvu ya umma ukumbini.

Hakuna mtu bogus kama huyu jamaa...analalamika kuzomewa hajui kuwa ni nguvu ya umma? Hiyo ni dalili na ujumbe tosha kwa hao wezi kuwa watu wamewachoka na CCM..akapeleke ujumbe kwa wakubwa wake...

Message send....
 
Ila mambo mengine ni kujiletea aibu ya bure. Hivi kweli CCM wamekosa mtu wa kuwakilisha maoni yao zaidi ya Bwana Hiza?
 
Ila mambo mengine ni kujiletea aibu ya bure. Hivi kweli CCM wamekosa mtu wa kuwakilisha maoni yao zaidi ya Bwana Hiza?

mawazo yako sawa na yangu,huwa nawaza sana hivi hawa jamaa hua hawana wazungumzaji wa kujenga hoja?
 
Jamani ukisikia ngome ya CCM ndo kina Tambwe, Makamba, Chiligati, RA, EL, JK, Mkono endelea.

kiufupi, NYERERE-Mwinyi+Mkapa-Kikwete(tambwe+makamba+chiligati+RA+EL)=HERO TO ZERO

NAJENGA HOJA.

ccm sasaivi kimegeuka na kuwa ni chama cha uswaiba, watu wanapewa vyeo sio sababu ya uwezo wao bali ni ukaribu ulionao na wenye mamlaka kama rais, hivyo Tambwe ni sample tu ila viongozi wengi kama wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi hawana uwezo wa kufanya kazi wanazopewa, ila bse ni wana ccm na maswaiba wao basi wanapewa vyeo as if vyeo ni zawadi.

Tambwe na wenzake baadhi lazima watetee mamlaka ya rais sababu wanajua weakness hizi ndo zinawaweka mjini, na mtaona tu na mafisadi wanaotafuta urais 2015 watafanya mbinu zote(bila kujiusisha moja kwa moja) ili kuhakikisha muswaada unapitishwa hatimaye kulinda mamlaka ya rais kwani haya mamlaka ndio silaha yao ya kuwaahidi UVCCM kama akina Shigela kuwapa nyazifa, ili wawaunge mkono.

Ndg zangu, watanzania wenzangu tusiweke wazo la kushindwa vichwani mwetu, yaani kwenye fikra zetu kwani ushindi uanzia kwenye fikra zen utekelezaji wa fikra ndo unafata, for sure if we'll be guided by this philosophy we'll reach ze Tanzania that we ar dreaming.
 
Wananchi waliomzomea Tambwe si chuki tu kwa CCM bali ni hoja potofu pia. Mbona Warioba ni mwanachama wa CCm alisikilizwa na baadaye hoja zake zilipigiwa makofi. Tambwe anajaribu kutetea ujinga na sera zilizofilisika! Huku akijua wazi uwezo wake wa kupanga hoja na kupambanua hali halisia ni mdogo sana! Katiba ndio itaipeleka CCM kaburini kabla hata ya wakati wake. Kwa mtindo huu sioni Serikali ya CCM ikifika 2015! Kuna kila alama watanzania wataingia barabarani siku za karibuni!
 
nakubaliana na wewe, hawawezi kufika 2015 labda kama dunia hii inatawaliwa na shetani, lakini kwa kuwa mungu wa mbinguni ndio tegemeo letu yeye atatupigania kwa namna ya ajabu, mungu ni mwema sana ile tu kujitokeza kwa watu wengi sana Nkurumah na Dodoma ni ishara kwamba watanzania wanataka nchi yao, hawako tayari kuona watoto wao wanaridhi utumwa wao, twende twende watanzania wenzangu
 
Back
Top Bottom