Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 129
Leo viongozi wa chadema wameonesha ukomavu mkubwa kwa kutozungumza chochote kuhusu Shibuda licha ya wananchiu kushinikiza kiaina hasa pale alipoinuka Heche na kamanda Mbowe.
Kwa kweli sehemu kubwa ya wananchi pale Jangwani walikua na kiu ya kuona Shibuda akitimuliwa rasmi kwenye chama. Muda ulikua unakimbia sana na viongozi walitumia vizuri sana kwa kuzungumzia masuala ya muhimu kama vile katiba na mengineyo.
Hiyo ni hekima kubwa sana kwani haikua busara kuendeleza malumbano yasiyo na msingi na pia kama alikua anatafuta umaarufu pale ndio angeupata hasa. Lakini makamanda wamepotezea na kuonesha iumakini na ukomavu wa kisiasa kwa kufanya mambo ya msingi na maslahi ya wananchi.
Kwa kweli sehemu kubwa ya wananchi pale Jangwani walikua na kiu ya kuona Shibuda akitimuliwa rasmi kwenye chama. Muda ulikua unakimbia sana na viongozi walitumia vizuri sana kwa kuzungumzia masuala ya muhimu kama vile katiba na mengineyo.
Hiyo ni hekima kubwa sana kwani haikua busara kuendeleza malumbano yasiyo na msingi na pia kama alikua anatafuta umaarufu pale ndio angeupata hasa. Lakini makamanda wamepotezea na kuonesha iumakini na ukomavu wa kisiasa kwa kufanya mambo ya msingi na maslahi ya wananchi.