Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Kuna mama mmoja pale manzese tiptop,huyu ni mnyakyusa,umaarufu anaitwa mama kupilika. Alikuwa na grocery,na kazi yake kubwa ni kuuza vibinti toka mikoani,hasa hasa mtwara masasi na iringa. Yeye anapokuja mteja anavuta cha juu, na anahakikisha mlevi huyo anapata hadi huduma ya ngono! Binti akigoma anapata mateso ya kutisha! Cha ajabu alikuwa na wanawe wa kuzaa hakuwashirikisha ktk shughuli hizo! Eti sasa hivi kajifanya ameokoka! Na anaimba kanisani kutwa! Na kujifanya kutoa vimisaada vyake! Lakini tabia yake hajaiacha kikamilifu. Tumfanyeje!?