EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
ni juzi tu kwenye vikao vya bunge kabla halijaairishwa mh. John cheyo alipotoa ripoti kuonesha ni jinsi gani serikali inavyoingia hasara kwa kuwa na matumizi yasiyo ya lazima akatoa mfano jinsi kodi za watanzania zinavyomalizwa ktk maandalizi ya sherehe mbalimbali mfano 7 saba, nane 8 sijui miaka 50 ya uhuru, mei mosi nk.
Sasa kilichonishangaza kwa leo ni ktk sherehe iz za miaka 48 ambapo naona wamerudia mambo yale yale.
Mfano kuna kundi kubwa la watu wamevishwa nguo nyeupe na kofia na ni dhahili inaonesha kuna chochote wamepewa pamoja na usafiri wa kwenda na kuludi, pia kuna ngoma, show itayofanywa na watoto. Ndg wanabodi kama serikali inashauriwa kufanya jambo flani kwa namna flani yenyewe inazidisha ndio usikivu huu tunaousikia wanajisifu.......!
Sasa kilichonishangaza kwa leo ni ktk sherehe iz za miaka 48 ambapo naona wamerudia mambo yale yale.
Mfano kuna kundi kubwa la watu wamevishwa nguo nyeupe na kofia na ni dhahili inaonesha kuna chochote wamepewa pamoja na usafiri wa kwenda na kuludi, pia kuna ngoma, show itayofanywa na watoto. Ndg wanabodi kama serikali inashauriwa kufanya jambo flani kwa namna flani yenyewe inazidisha ndio usikivu huu tunaousikia wanajisifu.......!