mtaratibuuuuuu
Member
- Aug 17, 2009
- 60
- 4
Alhamis iliyopita nilimpeleka mtoto akapate chanjo kwenye hospital ya pale ukonga magereza,wakasema ijumaa na j3 ndiyo wanatoa,nikaona niende j3 jana,waka2ambia dawa za chanjo hakuna mpaka wiki ijayo,watu wawe wanakuja kuangalia kama zimekuja.Hiv serikal iko serious kwel?,kama dawa za chanjo hakuna nina uhakika huko kwingine ndiyo mbaya zaid.