Nikiwa sina hili wala lile, nikaona vijana wa sisiem wakifanya gwalinde mbele ya viongozi wa kitaifa wa Chama. Mara nikamsikia Mh. Makamba akiwaambia vijana..."Kesho mje...kutakuwa na pilau...mnywe uji kabisa nyumbani, mchana pilau hapahapa....msije aguka..."
Nawasilisha!
Nawasilisha!