Yalo semwa na mkulu, nimeamini alikuwa ana manisha,
wa TZ Ha2na budi kushukuru kwa wenzetu kufanywa mbuzi wa kafara.
Mwenyezi mungu azilaze mahali pema roho za walio katishwa uhai wao Arusha.
Umaarufu wa CHADEMA umeongezeka mara mia
Lema atakuwa mbunge wa Arusha kupitia CHADEMA mpaka akatae mwenyewe.
Kitendo cha kupigwa kwake kimempa umaarufu mkubwa sana.
Yalo semwa na mkulu, nimeamini alikuwa ana manisha,
wa TZ Ha2na budi kushukuru kwa wenzetu kufanywa mbuzi wa kafara.
Mwenyezi mungu azilaze mahali pema roho za walio katishwa uhai wao Arusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.