Kweli Mbuzi wa kafara tumemuona Arusha. Asante mkulu

RACKY

Member
Aug 14, 2010
31
1
Yalo semwa na mkulu, nimeamini alikuwa ana manisha,
wa TZ Ha2na budi kushukuru kwa wenzetu kufanywa mbuzi wa kafara.
Mwenyezi mungu azilaze mahali pema roho za walio katishwa uhai wao Arusha.
 
Umaarufu wa CHADEMA umeongezeka mara mia
Lema atakuwa mbunge wa Arusha kupitia CHADEMA mpaka akatae mwenyewe.
Kitendo cha kupigwa kwake kimempa umaarufu mkubwa sana.
 
Yalo semwa na mkulu, nimeamini alikuwa ana manisha,
wa TZ Ha2na budi kushukuru kwa wenzetu kufanywa mbuzi wa kafara.
Mwenyezi mungu azilaze mahali pema roho za walio katishwa uhai wao Arusha.

mkulu ni kama mjusi tu kwenye msafara wa mamba......!hana jipya
 
Back
Top Bottom