Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,492
maisha ni haya haya mkuu hamna cha kesho wala nini mimi below 40 mimi ni no mimi na wazee tu heri nifaidi hata mahela
vijana hela hawana na mapenzi hawana wa nini heri wazee unafaidi vyote
Hahaaaaa, you made me Smile and lough loud........utakula mahela halafu yanaweza tu kukutokea puani keshokutwa, haya mambo bwana haya we acha tu, hayana mdhamana haya na hata ukitaka kuyatafutia mdhamana yanaweza kugoma