Baada ya kugaragazwa na Mchungaji pale Iringa mjini, nilitarajia Sisiem walipe fadhila kwa huyu mama angalau kwa kumpa kale ka-ubunge ka viti maalum kama walivyopewa akina mama wa Demokrasia. Nahisi huyu mama sasa hathaminiki kama "taulo la gesti" licha ya kuwa presha ilipanda na kushuka mara baada ya kukubali kipigo. Au labda ni mapema huenda mkulu akamuona na kumshushia u-DC ama u-RC wa mji kasoro bahari. Kazi ipo
Tittle na content haviendani kabisa!