Kweli kabisa PJ...mwache afurahi kwa sasa ila kuna siku atalia na kusaga meno!\
Wana akili hao, mind you!
Wanaweza wasikudai hata mwaka ukapita, lakini jua kuwa hakuna free lunch!
x-amenipa hela ya kununua moka
y- nauli ya kwenda bush
z- ticketi ya kwenda bush ila tuondoke wote tar 24 maana tuko village moja
w-lift ya kwenda bush,ila sitaki nani akwame barabarani na mavua haya na offer ya ndege ipo
p-hela ya saluni
0-hela ya nguo na viatu
t-hela tu ya kula sikukuu
c-hela ya wazazi
a-blackbery
b-ngoja nimfate hii ni ya misclenous expenses
yaani nisipofungwa mwaka huu basi na bado wanaendelea
mbarikiwe wanaume wote duniani
mi kosa langu nini au upofu ni upi ? unataka nikatae au wivu ?
Kwani hao walotoa ofa wanajua kuwa wako wengi hivyo. X anajua yuko peke ake na ndio mana amekupa alichokupa.nimedanganya nini mie?
Vyote wanakupa bure...? Especially hawa wawili wa blackberry,wa miscellaneous expenses.....mmh..my sista??!!
kabisa
Kuna siku watakuweka kati.Utajuuuta!
Ogopeni kula vitu vya watu jamani.
Halafu kuna wanawake wanajikuta mambo yao hayaendi.Full mikosi
wanaanza kushangaa.Kumbe walijilaani wenyewe.
UTAKULAJE DHLUMA HALAFU TEGEMEE BARAKA?
Laani hii ispokupata weye inakuja kuwapata watoto wako.
wewe nitaenda wapi sasa?
Pole yako, ipo siku yatakutokea puani! Wanaume waone hivyohivyo ila ni viumbe hatari sana.........hujuilizi wanaume wa songea kwanini wanaua familia tena kikatili na kisha wao kujimaliza? Nakuhurumia sana kwa upofu ulionao.
hawataki bwana si wangesema
Utalipa mara mia!
Watakunywea valuu hao!
Ok smile, kuna siku itakubidi uvilipe kwa moyo na muda wako pia. All the best.hawajauliziana wala sio wapenzi wangu
kila mmoja anatoa kwa moyo na muda wake
\
Wana akili hao, mind you!
Wanaweza wasikudai hata mwaka ukapita, lakini jua kuwa hakuna free lunch!