Cjapinga na ni vyema kuwa na planned family, but kutumia dawa wanazotoa ni sahihi kwa afya zetu in long-run?
kila aina ya njia ya uzazi wa mpango ina madhara yake inatemea na mtumiaje maana side effect atakayopata A si sawa na atakayopata B japo wengine huwa wanapata baada ya muda mrefu sana wa matumizi.
njia salama zaidi ni ya asli tu.
Ya asili ni kama ipi my dia?
Ya asili ni kama ipi my dia?