Naona kakosea kuweka picha! Nami nangoja aweke picha ya MTOTO ili nitoe % zangu kwake...Sasa huyu mtoto au mtu mzima?
mbwa mkali, geti kali mambo safi Supa sio dizeli.
Aisee umenikumbusha mashairi ya huyu babu!!Daaaa mtoto colored,bambadi kajazia mgongo bambataa hajakubwa taarabu anayo ukicheck nyoro inakuita chuchuchu tototooooo ajigijigijiiiiiii nashindwa hata hela ya kumnunulia big G,usoni no pimples,chotara mng'avung'avu maji ya kunde kaenda hewani sekunde kwao obay osyterbay masaki binti huyo mtanashati.
mpeni asilimia % anazostahiki
...wakati msela kabwela, kajamba nani, maisha ya uswahilini Temekeee Mikoroshini, sina hata baiskeli... Zamani ndo kulikuwa na mistari yani, sio sasa hv.Usafiri wa kifahari,kila akitaka gari anachange korando Royce rolls range,mara Mercedes benz.......
Daaaa mtoto colored,bambadi kajazia mgongo bambataa hajakubwa taarabu anayo ukicheck nyoro inakuita chuchuchu tototooooo ajigijigijiiiiiii nashindwa hata hela ya kumnunulia big G,usoni no pimples,chotara mng'avung'avu maji ya kunde kaenda hewani sekunde kwao obay osyterbay masaki binti huyo mtanashati.
Aisee umenikumbusha mashairi ya huyu babu!!