Kweli kuna haja ya kusoma vipaji vya watoto wetu na kuviendeleza

Mandown

JF-Expert Member
Apr 8, 2012
1,665
503
hivi karibuni amezikwa msanii nguli ambaye naa mini hakuwa msomi saana, ameishia elimu ya sekondary tu lakini ana mafanikio makubwa. kama wazazi wake wange kuwa ndio wale wa "kitaratibu", natumai saa hii kanumba angekuwa risiti form six!!
 
Back
Top Bottom