Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Kitambi hakikubaliki, lakini king'ang'anizi.
Upige tize, ufanye diet bado kina ng'ang'ana.
KITAMBI NOMA!!!!!
Upige tize, ufanye diet bado kina ng'ang'ana.
KITAMBI NOMA!!!!!
acha ujinga toka lini kitambi kikatongozewa may be ww ndo zko
asante sana, je ujinga wangu hutolewa kwa elimu ipi?
Mwenzangu naona hujakaa Uswahilini, ukiwa na kitambi uswahilini ni security, unakopea, unatongozea, unapendezea na kufanyia a lot of mbwembwe
Huyu nadhani his days on earth are numberedKitambi ni dalili ya kubana matumizi ya fenicha, unaweza kukitumia kama meza...!
Nani anabisha!?
Kitambi ni dalili ya kubana matumizi ya fenicha, unaweza kukitumia kama meza...!
Nani anabisha!?