Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
ukitaka kujua EAC kuwa wabongo tutapata shida sikiliza vidhungu leo Bungeni jamani mi nasema tukianza kuomba kura kwa vidhungu nahisi matusi na mbembwe zitaisha kwa wagombea haki ya Mungu madamu spika anajikanyaga balaa nae mwalimu wa mdhumbe nae ka mwanafunzi anapresent anasema mr spika mwe mwe kweli kidhungu kilikuja na meli na majahazi