zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Nasikiliza habari sasa hivi kupitia channel 10, nasikitika sana kusikia kuwa bara la Afrika linapeleka ughaibuni zaidi ya US Dollars billioni 40 kwa mwaka zinazopatikana kwa njia za rushwa.
Hivi kweli unapokea rushwa fedha zote unawapelekea kizazi cha mungu "wazungu". Fedha ambazo mwishowe huishia kubaki huko huko ukipenda usipende.
Wazungu wakiona unataka kuzihamisha kwa wingi wanakugeuka tu na kukwambia huna fedha hapa, uliweka kutoka wapi? Unalo la kuwajibu?
Wapokea rushwa hakikisheni mnaanza kuziondoa kidogo kidogo hizo fedha na kuzirudisha nchini muwekeze hapahapa, badala ya kuwaamini na kuwaneemesha wazungu, ni bora muwaamini ndugu, jamaa na marafiki zenu kwa kuanza kuwekeza hapa hapa.
Mtu anaiba nyumbani kwao anapeleka nje! hii ni akili ya kijinga sana, ni lini tutapata akili jamani? halafu tunasema oohh hatuendelei, tutaendelea kwa njia hizi? Wazungu wakipokea rushwa wanawekeza huko huko kwao hawawaletei nyinyi huku, wakiwekeza hoteli huku pwani zenu, wanahakikisha mnawapa vibali vya kuondoa tena hizo fedha na faida kurudi kwao na kuwa za halali.
Nyinyi mnaiba kwenu mnapeleka kwao!!! Upumbavu wa hali ya juu, inauma sana.
Hivi kwanini mnafanya hivi enyi kizazi cha Afriti?
Hivi kweli unapokea rushwa fedha zote unawapelekea kizazi cha mungu "wazungu". Fedha ambazo mwishowe huishia kubaki huko huko ukipenda usipende.
Wazungu wakiona unataka kuzihamisha kwa wingi wanakugeuka tu na kukwambia huna fedha hapa, uliweka kutoka wapi? Unalo la kuwajibu?
Wapokea rushwa hakikisheni mnaanza kuziondoa kidogo kidogo hizo fedha na kuzirudisha nchini muwekeze hapahapa, badala ya kuwaamini na kuwaneemesha wazungu, ni bora muwaamini ndugu, jamaa na marafiki zenu kwa kuanza kuwekeza hapa hapa.
Mtu anaiba nyumbani kwao anapeleka nje! hii ni akili ya kijinga sana, ni lini tutapata akili jamani? halafu tunasema oohh hatuendelei, tutaendelea kwa njia hizi? Wazungu wakipokea rushwa wanawekeza huko huko kwao hawawaletei nyinyi huku, wakiwekeza hoteli huku pwani zenu, wanahakikisha mnawapa vibali vya kuondoa tena hizo fedha na faida kurudi kwao na kuwa za halali.
Nyinyi mnaiba kwenu mnapeleka kwao!!! Upumbavu wa hali ya juu, inauma sana.
Hivi kwanini mnafanya hivi enyi kizazi cha Afriti?