Katika tukio la kusikitisha sana kamera yetu iliwanasa wanafunzi wa kidato cha saba huko Rudewa wakiwa wameacha masomo na kujiandaa na Mitihani lakini wapo Bize kuvua Dagaa ili wapate Shiringi za kitanzania 600 kama malipo ya chakula cha walimu ambao wanatakiwa kusimamia mitihani hiyo.. nikajiuliza hivi Wizara ya elimu haiwezi kutoa fungu kidogo kwa ajili ya walimu hawa mpaka watoto wateseke kiasi kama hiki? kwa mfano hawa madogo ambao wako na mtumbwi ni hatari sana .... KUWAONA WANAFUNZI HAWA BOFYA HAPAhttp://latestnewstz.blogspot.com/2011/07/wanafunzi-wafanya-hughuli-za-uvuvi-ziwa.html