Taifa hata siku moja halitaweza kuwa na maendeleo kama wanawake watakuwa ni sehemu ya jamii ambayo haina elimu. Nasema hivyo kwa sababu wanawake ndio wanafanya sehemu kubwa ya malezi ya watoto na familia. Hebu angalia kiasi cha wasichana walio jiunga kidato cha tano hapa chini
Wanafunzi 36,366 ambao ni asilimia 98.31 ya waliokuwa na sifa stahili wamepangwa kidato cha tano na vyuo vya ufundi, kati yao wasichana ni 11,210 sawa na asilimia 100 ya wenye sifa na wavulana ni 25,156 ambao ni asilimia 97.58 ya wanafunzi wenye sifa, .
Wanafunzi wa kike waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano pamoja na vyuo vya ufundi ni asilimia 30.83 ya wanafunzi wote 36,366 waliopangwa.
Hivi uviano wa 30:70 ni sawa kweli? kweli hii serikali inajua madhara ya wanawake kutopata elimu?
Wanafunzi 36,366 ambao ni asilimia 98.31 ya waliokuwa na sifa stahili wamepangwa kidato cha tano na vyuo vya ufundi, kati yao wasichana ni 11,210 sawa na asilimia 100 ya wenye sifa na wavulana ni 25,156 ambao ni asilimia 97.58 ya wanafunzi wenye sifa, .
Wanafunzi wa kike waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano pamoja na vyuo vya ufundi ni asilimia 30.83 ya wanafunzi wote 36,366 waliopangwa.
Hivi uviano wa 30:70 ni sawa kweli? kweli hii serikali inajua madhara ya wanawake kutopata elimu?