kweli duniani kuna mambo

imenigusa sana lkn nakusifu kwa kumuachia mungu akulipie maana zipo njia nyingine za kibinadamu ungeweza kuchukua ili kumlipizia.
but hapo kwa mtoto kama kuna ushahidi kuwa baba kammuua mtoto kwa nin asifikishwe mbele ya sheria?
pole kupoteza mtoto na kwa yote unayopitia.
elekeza macho na matumain yako yote kwa MUNGU yeye peke yake ndiye atakayekushindia.
 
Mary Glory message yako imenigusa mno, ila nashindwa kuelewa haya mambo...

Ni jinsi gani baba mtoto kakatisha hayo maisha ya mwanao?

Mwenyezi Mungu kakuwezesha umekubali kifo cha mwanao kua kiko mkononi mwake....
Unazungumzia kuibiwa pesa na kujenga ukuta kwa hizo pesa na kushindwa kuingia hapo...
kwamba alipo sababisha kifo cha mtoto uliendelea kuishi nae hatimae kukuibia pesa..
Inaonesha (kama maelezo ni dhabiti) kua ni mdada/mmama wa kujikimu na
kujua maisha lakini unampa nafasi ya kuambulia kipigo...

Haya matatizo uloeleza ni makubwa mno na hata Mungu
hatafanya lolote kama wewe personally umeona uache for kuna
policy katika vitabu vya dini kua jisaidie nitakusaidia...

Naomba dear if you don't mind useme halisia what happened from
before mtoto hajafariki...

Pole saana na Mungu akuzidishia Imani na Amani..
 
imenigusa sana lkn nakusifu kwa kumuachia mungu akulipie maana zipo njia nyingine za kibinadamu ungeweza kuchukua ili kumlipizia.but hapo kwa mtoto kama kuna ushahidi kuwa baba kammuua mtoto kwa nin asifikishwe mbele ya sheria?pole kupoteza mtoto na kwa yote unayopitia.elekeza macho na matumain yako yote kwa MUNGU yeye peke yake ndiye atakayekushindia.
Asante.kwa muda mchache nilioishi hapa dunian nimeona kuwa malipo ni hapa hapa dunian.me najua kuwa si muda mrefu atayaona malipo yake.na yatakuwa yakusikitisha sana.nimesikia akisema kuwa anahisi mauti yatamchukua usingizini.haoni kama kuna maisha tena.nahisi damu aliyoimwaga inamtesa
 
pole sana dada Mary Glory!
Nakuombea kwa Mungu azidi kukupa nguvu na ujasiri. Ingawa hujaeleza kwa kina nini kilitokea, lakini hakuna anayeweza kupima machungu uliyopitia.
Umefanya ustaarabu kuwa mvumilivu, mwisho wa siku utajua na kugundua kwa nini hayo yote yametokea
 
polt sana,daima malipo hapa hapa duniani,we mwachie mungu atashughulika na huyo jamaa muuaji.
 
Mary maelezo yako huwa yayajitoshelezi si huyu huyu jamaa mwezi uliopita ulidai umemkopesha hela na hataki kulipa ? na ulidai ni member mwenzetu hapa ? badala ya kulalamika kila kukicha ambapo kunaonesha hujasamehe wala kumuachia mungu hebu nenda kaongee na wakili mweleze kila kitu atakushauri vizuri zaidi yetu,pole sana yataisha tu.
 
Pole sana kwa yaliyokukuta.
Wakati mwingine wanaume hujisahau sana na kudhani kwa kuwa na mali basi wamemaliza kila kitu wakati hii si kweli. Jaribu kudai chako kwa njia ambayo hutadhurika halafu mwambie kwamba umesikitishwa sana na mabaya anayokufanyia na unashukuru sana kwa mema aliyowahi kukutendea. Mwambie unasononeka na yote umemwachia Mungu.
Kama kuna uwezekano wa kufanikisha maisha ya kuanzia nje ya uhusiano wake kama kijibiashara, kiajira au msaada wa ndugu, basi fanya hivyo ili uendeleze maisha yako. Laana yake anaijua Mwenyezi Mungu lakini atakutafuta one day na atakuwa mpole hata hutaamini.
 
Pole sana .
Hustahili hayo kabisa..
Ila ndio maisha.....
Piga moyo konde siku njema iko njiani..

Pole sana
 
Dah, matatzo ya dunia ni hatari... Unaweza kufikiri kama wew una matatzo kumbe mwenzako ana matatzo zaidi! POLE MAMA, POLE SANA,MUNGU YUKO NAWE!!!
 
mtoto wangu mpenzi,maisha yake yanakatizwa ghafla!tena yanakatizwa na baba yake.anazikwa,nalia na namwachia mungu nikiamini yeye ndo mlipiza kisasi.kama haitoshi nagundua kuwa kumbe huyu mzazi mwenzangu ameniibia na pesa.nakosa pa kwenda kwasababu amenifukuza.mbaya zaidi pesa alizoniibia amejenga ukuta na kuweka geti ili nisiingie kamwe.pia kanunua mbwa niogope kabisa hata kusogelea eneo hilo.unatamni kufanya kitu kibaya lkn nafsi inakataa.unajiuliza hata kama ni unyama huu umepitiliza.mbaya zaidi unapojaribu kwenda kuchua angalau vitu vyako uende kuendelea na maisha yako unaambulia kipigo tena kikali.kweli duniani kuna ya kustaajabisha kama siyo kushangaza.ni masahibu ya kweli yaliyonikuta mimi.nikamuomba mungu wangu nikapata jibu nisifanye chochote,kisasi cha kweli ni cha mungu.hata uamue kujichimbia chini ya bahari siku ya kisasi cha mungu ikifika hutakwepa.jamani maisha kwanin sometimes yanakuwa hivi?tofauti na ulivopanga!maisha ni darasa.

kwakweli nimesoma hii post sijaelewa... huyu mtu anaua vipi mtoto na kujenga na bila polisi kumkamata na wewe unaomba Mungu awe chini ya bahari??

wajuvi nijuzeni
 
Mary maelezo yako huwa yayajitoshelezi si huyu huyu jamaa mwezi uliopita ulidai umemkopesha hela na hataki kulipa ? na ulidai ni member mwenzetu hapa ? badala ya kulalamika kila kukicha ambapo kunaonesha hujasamehe wala kumuachia mungu hebu nenda kaongee na wakili mweleze kila kitu atakushauri vizuri zaidi yetu,pole sana yataisha tu.
Nimejaribu kuongea nae na si tu wakili kuna vyombo vingi vinasaidia wanawake siku hizi unapofanyiwa ukatili kama huu.wanaliweka sawa swala langu na wakiwa tayari watamuweka nguvuni.wanakusanya ushahidi.mm kama mm nilitaka sana kumpeleka mahakamn lkn ninafanya kazi.niliona nitapoteza muda mwingi huko na kazin nahitajika pia.nawapa msaada wanaoutaka hao malayerNa wamesema ni kesi yao kwa sasa
 
Back
Top Bottom