Kweli dunia kizungumkuti!

Shosti najua hili sio jukwaa letu lakini inabidi nikuulize eti na ujanja wako wote ulivalishwa shanga kwenye ile safari ?

We una majungu!?? Mwenyewe nilimvisha shanga kulingana na mvuto wa kiuno chake hebu kaa mbali cc tule zabibu zetu
 
ndugu zangu watz hebu tuache unafiki. toka lini mtu akalima na jaketi? tena jaketi safii halin ahata vumbi?...tunafanya maigizo au ni nini?tusisumbuane akili hapa jamani...
 
HIvi huyo 'mkulima' gari aliyo 'kataa' inatofauti na hiyo au ni version tu? Halafu hapo alipose kupiga picha tu hamna lolote pose lenyewe amekosea kabisa sisi wakulima tunafahamu. Na huyo mwenye shati la kijani anafanya nini? mh, hapo kwishney!
 
ndugu zangu watz hebu tuache unafiki. toka lini mtu akalima na jaketi? tena jaketi safii halin ahata vumbi?...tunafanya maigizo au ni nini?tusisumbuane akili hapa jamani...

kuvaa vazi chafu si ishara ya ukulima bora,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom