Shosti najua hili sio jukwaa letu lakini inabidi nikuulize eti na ujanja wako wote ulivalishwa shanga kwenye ile safari ?na habari ndio hiyo
thats the point mankweli dunia kizungumkuti, lakini uzuri ni kwamba wote tukifa tunaoza... hakuna ujanja hapo uwe fisadi, kapuku au whatever
Hint kidogo Mr..
ngoma si zinajeleza hizo, juu kabisakulia ni mkulima nakushoto ni yule anayetumia janja yakujiita mtoto wa mkulima ili kuraisisha kampeni za urais 2015. Na chini kabisa mzee anamwambia R.A kuwakitaeleweka tu hata kama wamemchakachua uspika.
Shosti najua hili sio jukwaa letu lakini inabidi nikuulize eti na ujanja wako wote ulivalishwa shanga kwenye ile safari ?
Mwaka huu ilikuwa zamu yangu kuwakaribisha ndugu sikukuu ya x-mas sikuweza kuwa mbali na home.ha ha.....umenifanya nicheke sana.....ilibidi maana tulifika mahali ambapo there was no point of return....mwee ilikuwa shughuli....mbona hukuja?
Mwaka huu ilikuwa zamu yangu kuwakaribisha ndugu sikukuu ya x-mas sikuweza kuwa mbali na home.
very true buddy... very truethats the point man
lakini kabla ya kufa cha moto tutakiona baabaake
huyo mweupe simpendi-kama ningekuwa na uwezo ningempokonya uraia-arudi kwao
Hahaha! hapo utanisamehe shoga nitawachelewesha bure mkinisubiri nipumzike kila mara.ohoooo........basi tunajiandaa kwenda kupanda mlima kilimanjaro......naomba uanze kwenda gym kwa ajili ya pumzi.....sitisha ulaji wa chips zege mara moja
huyo mweupe simpendi-kama ningekuwa na uwezo ningempokonya uraia-arudi kwao