AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

Habibu B. Anga

JF-Expert Member
May 7, 2013
6,557
25,671
Dakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora kwa sasa barani Afrika.!

Wimbo unaitwa Make Me Sing..


============================

Mzigo huu hapa.!!

Shikamooooo Chibuuu...




=============================

Review..

Kama Diamond platnumz mwenyewe alivyosema jana kabla ya video hii kutoka kuwa sasa ni zamu ya kuiteka South Africa na America kwa video hii naamini tumeanza kutimiza lengo mapema sana katika kuiteka SA.! Ikumbukwe kwamba mwaka 2014, 2015 ilikuwa dedicated katika kuiteka West Africa na lengo hili lilitimia kwa 100%!!

So, nadhani kazi ya kupenentrate market ya SA imeanza kwa kishindo na Inshallah naamini kabla nusu hii ya kwanza ya mwaka haijaisha tutakuwa tumefanikiwa katika hilo na naamini kati ya May or June tutegemee bonge la video lingine la Chibu na moja ya mastaa wa kubwa wa marekani ila kwa sasa tuendelee kuenjoy Make Me Sing...

Go go go Chibu.!!!
 
I try to figure it out on how this international anthem itakuwa,but siipatii picha yani cjui itakuwa more fire au jamaa watafanya kawaida tu...maana sometimes wakali wanapokutana kweny singo moja huwa wanaharibugi kuliko watu tunavotarajia,it happens sometimes. But for this God forbid!
 
Spesho thread ya diamond mbona ipo hapa


HIYO SPECIAL THREAD YAKE HAINIHUSU! NAONA NIMETAJA JILA LA HUYU DOMO! TEAM YAKE MMENG'AKA! SAMAHANINI HATA MO11, SIKUJUA NDUGU NILIDHANI NIKO SIASANI, KUMBE NIMEKOSEA JUKWAA!, NGOJA NIONDOKE! HUKU HAKUNIFAI MSIJE KUNIN'GOA KUCHA!
 
Sio DIAMOND ft. AKA

Ni wimbo wa pamoja
(Joint kama vile "Ayo" ya Chris brown na Tyga)
Asante kwa masahihisho!! Nilikuwa nafahamu AKA ameshirikishwa ila nimeona MTV wameandi Diamond & AKA nikawa confused kidogo.. Let's see ikidrop kama ni ya pamoja basi tutachange tittle..
 
ngoja tusubiri maana lupela tuliambiwa tuisubiri mwishowe hata hakieleweki kinachoimbwa
 
HIYO SPECIAL THREAD YAKE HAINIHUSU! NAONA NIMETAJA JILA LA HUYU DOMO! TEAM YAKE MMENG'AKA! SAMAHANINI HATA MO11, SIKUJUA NDUGU NILIDHANI NIKO SIASANI, KUMBE NIMEKOSEA JUKWAA!, NGOJA NIONDOKE! HUKU HAKUNIFAI MSIJE KUNIN'GOA KUCHA!
Sijakuelewa, nimemjibu alietoa thread kuwa tayari kuna special ya diamond, we nae sijui umeibukia wapi umekuja kutua hapa kama mchawi nimekuambia wewe mxyuuuu
 
Dakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora kwa sasa barani Afrika.!

Wimbo unaitwa Make Me Sing, ambapo bado haijawekwa wazi lakini taarifa zilizopo ni kwamba video imefanywa na Godfather nchini SA.

Uzi huu ni maalum kwa ajili ya mashabiki wote wa Diamond platnumz na Watanzania na Waafrika wote wenye mapenzi mema ya kuufikisha muziki wetu katika level za juu kabisa.!!

Video ikidondoka tu tutaidadavua hapa na kucelebrate pamoja!! Stay tuned..
Am wairiiin
 
Aaaaagh,hyo saa kumi na mbili haifiki tu nitune mtv base kwenye startimes smart phone yangu nijibwedee mieeeeeeeeeeee,chibu,chibu,chibu,c'mon kijanaaaa
 
Back
Top Bottom