Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
kweli nimeamini dawa ya babu inapona magojwa yote sugu nilikuwa siamini sasa namini
haya ni badhi ya magonjwa ambayo imeshayapona mpaka sasa:
1. kuanguka kwa kikwete sasa hivi anaonekana ametakata na anaongea kwa kishindo kabisa
2. waziri mkuu na maradhi yake ya mda mrefu v.. sasa anaonekana yuko fit kabisa
3. bilali nae azidi kung'ara
4. machungu ya dowans sasa yamepungua miongoni mwa waTZ
5. umeme kukatika katikaka ovyo sasa umepungua
6. migomo ya vyuo vikuu
7.
8..
haya ni badhi ya magonjwa ambayo imeshayapona mpaka sasa:
1. kuanguka kwa kikwete sasa hivi anaonekana ametakata na anaongea kwa kishindo kabisa
2. waziri mkuu na maradhi yake ya mda mrefu v.. sasa anaonekana yuko fit kabisa
3. bilali nae azidi kung'ara
4. machungu ya dowans sasa yamepungua miongoni mwa waTZ
5. umeme kukatika katikaka ovyo sasa umepungua
6. migomo ya vyuo vikuu
7.
8..