RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
ni uchochezi tu unaoongozwa na mbowe,lema na komu..hawa jamaa sijui wanampango gani na hii nchi,alafu kuna vijamaa vinawaunga mkono hawa wachaga..kila kitu kwenye chama wanaongoza wao wakaskazini,ata ubunge wa Eac walimpeleka kiraza kisa ni wakwao..kuwa macho mkuu.
Umeamua kuwa punguwani!
They are talking of what's happenning in Mwanza wewe unaleta habari za wachagga