kilolambwani
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 395
- 75
Nawashangaa hawa uvccm wanaotaka kuandamana kuunga mkono hotuba ya rais. Kwani rais aliongea lipi la maana. Ina maana hawa ccm wanaishi maisha mazuri, hawana maisha magumu kama wananchi wengine? Kwanini wanashabikia uozo wa serikali hii?